Recent content by yarumba Msuya

  1. Y

    Msaada: What are the bases for price discrimination and it's circumstances

    what are the bases for price discrimination and it's circumstances
  2. Y

    Shule ya sifa: Shule ya Sekondari Milambo, Tabora

    milambo shule yangu iko Poa sana mambo ya zaina zaina hatarii madem wakali chem chem
  3. Y

    Natafuta chuo kizuri kinachotoa course za computer maeneo ya Tegeta

    kipi chuo kizuri kinachotoa mafunzo ya course za computer ambacho kipo karibu na maeneo ya tegeta Dar es salaam??
  4. Y

    Nimepata mkopo usiku huu kutoka HESLB

    msaada s2297.0071.2013 naomba kuangaliziwa number iyo
  5. Y

    MAAJABU

    Duh so Bach zinatolewa kimya kimya au imekaaje hapo
  6. Y

    Bodi ya mikopo yaanza kuachia majina ya waombaji wa mikopo wenye uhiitaji maalum.

    mbona Mimi yatima na sijaona jina...au bado hayajatoka!!??
  7. Y

    Bodi ya mikopo kutoa mikopo kwa wanafunzi wote wenye uhitaji waliokosa kwa mwaka 2016/2017

    mbona hayo majina hayajatoka!??? coz si walisema yanatoka Jana jioni mbona hadi saivi hakuna kitu
  8. Y

    "Not Allocated Loan In The First Bach"

    Asante sana ndugu no way out ngoja tukate rufaa
  9. Y

    "Not Allocated Loan In The First Bach"

    Dah tulipewa mkopo awamu ya kwanza na tuka sign hadi boom lakini cha ajabu mambo yamebadilika saiv loan status inaandika "not allocated loan in the first bach" na tumeondoshewa mkopo wote Sasa sijui HESLB wana mpango gani na sisi Inauma sana zaidi ya sana Wengine tuna mzazi mmoja ambae ni mama...
  10. Y

    Hili linaukweli au ni porojo tu

    ni bonge la dili kama INA ukweli ndani yake
  11. Y

    Mkurugenzi HESLB: Zaidi ya asilimia 90 ya fedha za mkopo zimeshafika vyuoni

    Hajaongelea sisi ambao tulipata round ya kwanza alafu saivi tumeandikiwa not allocated!??
Back
Top Bottom