Beautifulgirl
JF-Expert Member
- Oct 22, 2016
- 300
- 265
Bodi ya mokopo ya elimu ya juu imeanza kutoa mikopo kwa waombaji wenye uhiitaji maalum. Hii itajumuisha mayatima wenye kutoka familia duni ppamoja na wenye ulemavu. Kama haupo kwenye category hiyo usijisumbue kumaliza bando lako.