Recent content by Yared Solomon

  1. Y

    Msaada wa kubadili Course UDOM

    Nimechaguliwa UDOM Nahitaji kupata msaada wa jinsi ya kubadili kutoka course moja kwenda nyingine
  2. Y

    Tujihadhari na hawa wezi kupitia mitandao

    Me mwenyewe kunademu alntumia mpaka pcha anasema yupo Rwanda anapesa kaächiwa na baba yake ila nligundua kuwa ni tapel coz notification iliingia ktk sim yangu kwa namba za Tanzania
  3. Y

    Bodi ya Mikopo lini inatoa majina?

    Mwenye taarifa kuhusu mkopo jamani
  4. Y

    Niulize chochote kuhusu stella maris mtwara university college(stemmuco).

    Vp kufika Mtwara lazima upitie Dsm au hata njia ya kati inaptika?
Back
Top Bottom