Recent content by yamabushtake

  1. Y

    Nataka kuoa single mother wawatoto wawili, hata mimi nina watoto wawili pia

    Baba wa watoto wa huyo dada wanasema hivohivp nao kuwa utiufu hamna ila kama ww unaona ni mwanaume unaweza toboa wanaume wenzako walipoferi ayaaa
  2. Y

    Nimegundua haya

    Time haiko linear kili kitu kilichowahi kutokea au kitakachotokea kinatokea saivi. Kwaiyo dunia saiz ina watu billion 8 ila wakati huohuo nimwaka 1800 na kuna watu millioni 1p00 ukiwa reincarnated unatokea sehemu yoyote kat8 ya hizo moda
  3. Y

    Msaada: Kati ya Mechatronic engineering na mechanical engineering ipi ni kozi bora kwa kuajiriwa au kujiajiri?

    Kaka mi nimesoma iyo mechatronics diploma barchelor nkabadilisha kiukweli ni kozi ndogo,inakuwa marketed kama multidisciplinary lakini kiukweli inahusiana na automation tu ambayo ni kipande kidogo sana na Tanzania hiyo mechatronic unaomba kazi hadi umuelezee muajiri wako kozi inahusiana na nn...
Back
Top Bottom