Recent content by yakowazi

  1. yakowazi

    Kuichukia Taifa Stars kwakuwa tu unamchukia Rais Samia na CCM si tu ni Ushamba bali pia ni Upumbavu uliovuka mipaka

    wenyewe wameamua sasa wewe ni nani kwao au ndio kama kawaida yenu mfuatwe kwa yote wameanza kuwakataa sasa sijui itakuwaje
  2. yakowazi

    Tanzania kutolewa na Morocco tumefurahi

    Kwani wa mefungwa ngapi HAO
  3. yakowazi

    PreGE2025 Msukuma: Kuna fukuto la kumuondoa Tundu Lissu CHADEMA

    mmeshajiandaa :02Hype: Tumekuckia
  4. yakowazi

    Anaandika Makamu wa Rais wa Yanga

    we acha hizo sio nyie mlioambiwa mumuache mtoto acheze mpira mmesahau au mnataka tena muambiwe muuache pacoma na chamachao wacheze mpira. hebutulieni ipangwe tarehe ya kula hicho kiporo
  5. yakowazi

    Simba haikugomea kucheza mechi na Yanga

    Nanikakwambia mambo yetu yanaenda na kanuni kanuni zinategemea zinamhusu nani. Tunavyopiga kelele kuhusu simba na yanga kelele hizohizo zinesikika kwenye mambo mengine na muhimu ya nchi hii wala huko tusingefika lakini kwa kuwa tumekubali kuwa wanafiki na bado tutaloloma sana unaweza...
  6. yakowazi

    Simba haikufanya mazoezi uwanja wa Jamhuri Morogoro ikapoteza mechi muhimu

    tatizo la nchi yetu kila kitu tunaleta porojo kwani kuna shida gani kuacha kanuni sheria na taratibu zifanye kazi na yule anakiuka taratibu hizo wanahusika wahukumu kwa kufuata kanuni hizo lakini kwetu hatutaki kufuata hata hizo kanunu cio walitungiwa hizo kanunu cio wanaotakiwa kuzisimamia wala...
  7. yakowazi

    UCHAGUZI CHADEMA: Mahojiano ya Mbowe leo Clouds yamesitisha moja kwa moja Mdahalo wa Lissu na Mbowe

    kama ni kweli sim sim wanamfadhili MWAMBA bac atashinda maana wale wanaofadhiliwa NA simsim huwa wanashinda angalia serikal za nitaa 2019 uchaguzi mkuu2020 na uchaguzi serikali za mitaa2024 cuneona alichofanya mfadhili KWA KETE HIYO mwamba 5 tena unaweza...
  8. yakowazi

    PreGE2025 Mzee Makamba aliwahi kusema 'Ukifanikiwa kuwaondoa Mbowe na Dkt. Slaa CHADEMA itakufa'

    wenye CHADEMA YAO watamchagua M/Kiti iwe mnamtaka au hamumtaki itabaki kuwa shida zenu mkumbuke kuwa na nyie mnao uchaguzi wanu wa nani cjui bara kabla CDM ingekuwa vyema mkahangaikia huko kwenu. achana na jirani
  9. yakowazi

    Freeman Mbowe kusema aliokoa maisha ya Tundu Lissu ni kauli ya kufuru na ya ovyo

    jamani TL c alishapona waliomuokoa ni simusimu sasa bac MWAMBA hakuhusika na chochote kwenye uokozi wa TL clazima kukubaliana na nini
  10. yakowazi

    Kwanini Kambi ya Tundu Lissu imesheheni Wasomi Watupu na Kambi ya Mbowe ina Vilaza wengi?

    je hao uanaowaita wasoni ni wapiga KURAAAA au bac sawa maana hata huko wasomi wako
  11. yakowazi

    Peter Msigwa mbona kimya sana? Ama keshatupwa ghalani?

    amegeuzwa mbeba visimbuzi achana na chama chao
Back
Top Bottom