Recent content by yakobo11

  1. yakobo11

    Baadhi ya wanawake wa sasa hawakupi msaada mpaka alale na wewe kwanza

    Hii Chai ni ya baridi na imeungwa na risasi ya moto. Dah..
  2. yakobo11

    Tusemezane jambo wadau

    Ubarikiwe umeweka ujumbe mzuri sana sana kwa jamii yetu inayotuzunguka. Umetukumbusha wajibu wetu kuliishi Neno la MUNGU na kumheshimu kila mtu haijalishi ni mmeo au mkeo au mtoto , na kuwalea watoto wetu kwa kumjua MUNGU na ili baadae wawe na maisha Yao bora , wakikua. Watu wengi hawajui kuwa...
  3. yakobo11

    Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

    Dah inaumiza sana kama ni mume alafu ulimuamini sana mkeo na kumheshimu na kumthamini kufanya kitendo cha kucheat... dah
  4. yakobo11

    Mabinti wa Kaskazini(Arusha & Moshi) Ni Tatizo, Wameshindikana. Be Warned!

    Ni kweli kabisa mimi mwenyewe nilikutana nayo hayo...
  5. yakobo11

    Wanaume ni wa ovyo sana

    Wewe dada hebu tulia, wewe ndiyo umeolewa, inamaana amekuchagua na amekuona ni bora kuliko wanawake wote duniani ndiyo maana akafunga pingu za maisha na wewe . Wewe ni wa thamani kwake ndiyo maana wewe ni mke wake, kwahiyo hao uliosoma msg zao wanapoteza muda wao tu. Tulia endelea kumheshimu...
  6. yakobo11

    Wanaume ni wa ovyo sana

    Wewe ni mwanamke mwenye akili na ufahamu mzuri sana. MUNGU wa mbinguni ailinde na kuiinua ndoa yako iwe na furaha kupita siku zote. Angalia wanawake wapumbavu wasikudanganye ukaharibu ndoa yako kwa kufanya mashindano na mume au eti kulipiza kisasi. Hicho kitu hakuna. Soma biblia kama kuna...
  7. yakobo11

    Wanaume ni wa ovyo sana

    Usiwadanganye wanawake wenye akili kuwaharibia ndoa zao kama ulivyoharibu ndoa yako.
  8. yakobo11

    Mnaopata wanaume wa kuwaoa, huwa mnafanyaje?

    Piga muombe MUNGU, NAYE atakupa wako.
  9. yakobo11

    Wanaume wengi wakifikia 40+ huanza Kupiga Moko tu

    Nichangie jambo juu ya umri tendo na ndoa au mahusiano kamili. Jambo muhimu linalobeba afya ya tendo la ndoa au mahusiano ni kujitunza kwa wote wawili mume na mke na kua ngalia nini unakula na nini unakunywa kwenye maisha kwa ujumla bila kuacha kufanya mazoezi japo kwa dakika tano kila siku au...
  10. yakobo11

    Uchunguzi: Ngono zembe inaharibu bahati na future

    Hapa imenena kweli kabisa hata neno kwenye kitabu cha Mithali 6:32 imeandikwa "aziniye na mwanamke hana akili kabisa , afanya jambo linaloangamiza nafsi yake.
  11. yakobo11

    Nyumba ambayo haijakamilika inauzwa VIWEGE KWA MPEMBA, Ukubwa ni 28m × 14

    Nauza nyumba ya vyumba 3, sebule , dinner room, jiko , vyoo 2- masterbedroom. Eneo linalo zunguka nyumba hii lina ukubwa wa 28m × 14m , bei ni Tzs 7.5 milion. Hii nyumba ipo VIWEGE KWA MPEMBA , ila bado haija pauliwa tu. Kwa anayetaka kuinunua mawasiliano ni 0784 281125 kuanzia 8:00 asubuhi...
Back
Top Bottom