Kama kichwa cha habari kinavyojieleza , kwa wiki kadhaa nimekuwa na tatizo la mwili kupata joto kali, naweza nikapata joto kwa siku nzima kesho hali ikarudi kama mwanzo halafu ikajirudia tena.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Umepiga hesabu zako kama zile za kilimo cha matikiti kilichokuwa kinafanywa fb
Kuuza jezi ni biashara ngumu sana , kuna fake nyingi sana mitaani,
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Ata mimi nawashangaa sana, mda ule wa ngumi wanapoteza mashabiki wengi sana mana wanaelekea kulala, pambano la mwisho angalau lianze saa 4 usiku
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Vipi kuhusu YANGA OMARY na KIBOKO hio sheria mpya kwanini kwao haikutumika ?
Mana Yanga kafungwa miaka 30 na kiboko miaka 20 ila mali zake zimeachwa
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Nauza kiwanja changu bei ni Milioni 3 kina ukubwa wa mita 20×20 Kiluvya Makurunge , umeme tayari umefika kwenye kiwanja, barabara inapitika wakati wote
0784 369336
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.