Recent content by Yaika Yaika

  1. Y

    JamiiForums Tanzania Mtifuano wa Ubunge Jimbo la Ukerewe

    Ndugu wanajanmvi! Kwa wiki kadhaa kumekuwa na habari za kuwepo kwa mgogoro katika ya Mbunge wa Ukerewe Salvatory Naluyaga Machemri na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ukerewe na Diwani wa Kata ya Bukiko, Joseph Mkundi. Kwa wasiofahamu hili wanaweza kudhani kuwa mgogoro huu umeanza baada ya issue...
  2. Y

    JamiiForums Tanzania Mh. Machemli, mbunge wa Ukerewe aburuzwa kortini kwa kutokumlipa mshahara katibu wake

    Inasemekana Issue hii ni zaidi ya madai ya mshahara. Swali la kujiuliza ni kwa nini yanatokea sasa. Kuna siasa nyuma yake. Ni harakati za wanaotaka ubunge kati ya Malima (Mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa), Mkundi (mwenyekiti wa halimashauri) na Machemli mwenyewe ambaye ametangaza kugombea tena...
  3. Y

    JamiiForums Tanzania Askofu Kilaini aitwa Dar es Salaam na Kanisa Katoliki

    Kwani Kanisa Katoriki liko Dar es Salaam?
  4. Y

    JamiiForums Tanzania Kitine: Kuna waziri ameiba fedha za nchi huko nje ametia mfukoni mwake kutafutia urais

    Atakuwa Membe a.k.a "Smart Boy"! Anadhani anafaa kuwa Rais.
  5. Y

    JamiiForums Tanzania CHADEMA sasa yamvuruga Zitto ACT-Tanzania

    Fuata Misingi sio watu. Zitto anajivuruga mwenyewe. Ubinafsi wake na tamaa vitammaliza kisiasa.
Back
Top Bottom