This is a private company that is a public a public money,is it fair??
while other citizens delivered mothers share hospital beds? 5 to 1?
meanwhile teachers not paid their dues?? dont we have enough airlines to support more than wasting it on another one??
WHAT IS THIS?????
niko hapa mtwara toka saa mbili na nusu bado hatujaambiwa kuhusu delay ya ndege ya kuelekea dar es salaam,wala nini,mpaka sasa saa nne tupo tuu tunashangaa..! unreliable. mumeniaribia siku duh
Kwanza
Boeing zimekamatwa,JNIA ziko grounded mpaka zilipe pesa nyingi tu. watoa huduma wote ikiwapo wakodisha ndege pamoja na huduma zingine na ndege nyingi zilisongiziwa kua mpya zote zinadaiwa na mabenki. Route nyingi zimeshasisitishwa Comoro inasuasua,kigoma chali,arusha bye bye.
Ndege za kamatwa na kushindwa kuruka madeni,kioko awakimbia awaacha katika hali taabani. Wafanyakazi walipwa nusu mshahara,waanza kupunguza route,wameshidwa kutoa huduma nafuu kwa wananchi. Wajaribu kuididimiza fastjet lakini wakwama,kiasi kwamba wadaiwa kila kona madeni yasiyo lipika. Wapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.