hapo mmemaliza? kaongea nini? mwacheza ngoma ya fisadi lowasa msiyoijua.
siasa za umati!! alizifanya sana wakati anagombea kuteuliwa ccm ila kakatwa.
huko pia wananchi watamkata tu.
unataka urais wakati ukiongea sentensi ya 3 umeshasahau ya kwanza?!
kwa niliowaona wanasubiria tu ziara za lowasa na wao wawapungie wananchi mkono.
kuna mmoja wa huko katavi nimesoma leo anasubiria vifaa toka us kwa mwanae ndo akazindue kampeni
maria surungi na viongozi wa twaweza wajiandae kisaikolojia na character assasinations.
walewale vijana wa lowasa waliowashukia watajwa hapo juu watawashukia na nyie kuanzia kesho, sasa wapo wachimba maisha yenu binafsi na kazini ya sasa na yaliyopita. wataongezea na uongo ili kuionesha jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.