Ngumu kujiamini wakati nishajiharibu na masturbation. Sikuhizi erection ziko weak. Tangu nimeacha masturbation haujafika hata mwezi na hali sio nzuri bado. Napaswa kutafuta tiba kwanza
Yupo Housegirl, nilipoanza tu form 1 boarding akaletwa housegirl hapa ndio yupo hadi leo. Nilipomaliza advance nimerudi nimekuta ana mimba, ingawa hatujamrudisha naona wazazi wameamua kumsaidia kulea ujauzito wake maana uchumi kwao sio mzuri halafu ametusaidia kazi nyingi hapa home
Mzee aliniambia kuwa madhara ya punyeto yanatibika kwamba nisiwe na wasiwasi
Hadi sasa erection zangu zipo weak ila nina matumaini ya kupata tiba. Nitajitahidi kutafuta tiba ikishindikana kabisa sioni haja ya kuishi. Na hilo suala la kupungua nguvu za kiume kisa punyeto linaniumiza sana...
Ni watu wa kawaida tu, hawajashika sana dini. Mama muislam baba ni mkristo na wote sio wafia dini. Muda mwingi wapo aidha kazini au nyumbani. Sio watu wa kutoka out au nini
Weekend wanakesha nyumbani na familia
Too late, nilisoma uboizini. Nimekula nyeto sana, hadi nikapoteza hisia na mademu.
Nimekaa nalo moyoni nimeshindwa nikamwambia mzee wangu kwamba siku hizi erection zangu hazipo vizuri kwa sababu ya masturbation. Ikabidi tutafute dawa, nikapata Ginsomin ambazo dokta alisema zitarudisha erection...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.