Recent content by XOXOQY

  1. X

    JamiiForums Tanzania Anayefahamu kijijini wanakouzwa mashamba Kati ya laki 2 Hadi 5 anijuze popote Tanzania

    Marumbo Kisarawe Pwani Ekari Tsh 700,000/ nina Ekari moja na robo ntakuuzia 1.2m. Wanao nizunguka wanafanya kilimo cha machungwa,maembe na miogo..mto upo jirani ukihitaji kilimo cha kumwagilia
  2. X

    JamiiForums Tanzania Shamba Ekari 1 na robo linauzwa Marumbo Kisarawe 1.2m

    Eneo linafaa kwa Ufugaji,mto unapita jirani,kilimo cha kumwagilia. Lakini pia kilimo cha mihogo,machungwa na Maembe. Nicheki 0782971984
  3. X

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu maarufu na matajiri wengi kila wakifa cancer ndiyo chanzo?

    *Mtindo wa maisha *Wanaishi umri mrefu,the more the age the more exposed to cancer *Wana matibabu bora rahisi kujua uwepo wa kansa...huku kwetu mzee akifa wanasema kafa sababu ya uzee *Maisha yao yamejaa strees na kuzunguka katika viwanda au maeneo yenye uchafuzi wa hali ya hewa *Genetic
  4. X

    JamiiForums Tanzania Tunaunda, kurekebisha au kuboresha mashine za kutotoresha vofaranga(incubator)

    Hiyo ilifanyika katika air cooling system kama ya mafriji,kama sikosei ni theory inaitwa MPEMBA,Sijawahi ijalibu katika mifumo ya Ice block sababu yenyewe haiganishi kwa kutumia hewa.
  5. X

    JamiiForums Tanzania Tunaunda, kurekebisha au kuboresha mashine za kutotoresha vofaranga(incubator)

    Simple bila complications ni hivi:- Maji yanachukua nafasi ya "pressure fan", pressure fan kazi yake kubwa ni ku-force oxygen ichanganyikane na oil ili upate moto wenye combustion nzuri... Sasa usipo tumia fan itakulazimu utengeneze chemba, ambako utaweka maji moto,yale maji moto...
  6. X

    JamiiForums Tanzania Tunaunda, kurekebisha au kuboresha mashine za kutotoresha vofaranga(incubator)

    Kama unakutana na changamoto au una maswali yoyote kuhusu mashine au vifaa vilivyotajwa hapa chini, usisite kuuliza. Nitakuwa hapa kujibu maswali na kutoa ufafanuzi. 1. Ice Block Making Machine (Mashine ya Kugandisha Barafu za Tofari). Mashine hii inatengeneza barafu katika muundo wa tofari...
  7. X

    JamiiForums Tanzania Tunaunda, kurekebisha au kuboresha mashine za kutotoresha vofaranga(incubator)

    KAMA UNA JUMBA LA FRIJI,NA UNATAKA KULIGEUZA KUWA INCUBATOR BEI HIZI HAPA BEI MASHINE AUTOMATIC UMEME JUMBA LA FRIJI KWA Tsh. *Inageuza mayai yenyewe *Inacontrol joto na mvuke yenyewe Mayai 90=automatic....350,000/- Mayai 180=automatic.....500,000/- Mayai 280=automatic......650,000/-...
  8. X

    JamiiForums Tanzania Tunaunda, kurekebisha au kuboresha mashine za kutotoresha vofaranga(incubator)

    Unayo friji ya zamani ambayo haitumiki? Badala ya kuitupa, ibadilishe kuwa incubator ya kisasa ya mayai na uanze biashara yako ya kutotolesha vifaranga! Huduma zetu ni za gharama nafuu, bora na za uhakika kwa kila mteja. Faida za huduma yetu: ✅ Tunahakikisha ubora wa kazi. ✅ Unaokoa pesa na...
  9. X

    JamiiForums Tanzania Tunaunda, kurekebisha au kuboresha mashine za kutotoresha vofaranga(incubator)

    Kwa mahitaji ya huduma ya utaalamu wa mashine za kutotoresha vifaranga za aina zote *Kuunda *Kuboresha *Kurekebisha *Ushauri Piga 0785165877
  10. X

    JamiiForums Tanzania Kwa mashirika/kampuni au watu binafsi naomba mnipe nafasi niwatumikie, hamtojuta

    Nimejiajiri...ila bado nahitaji mawanda mapana zaidi ya kutekeleza kile ambacho naweza kukitoa kwa jamii...utekelezaji wa miradi yenye kuleta positive change kwenye jamii. Yani naamaana nisiishie tu kutoa service mtaani ila niweze kuleta revolution katika kutatua matatizo ya jamii kupitia...
  11. X

    JamiiForums Tanzania Kwa mashirika/kampuni au watu binafsi naomba mnipe nafasi niwatumikie, hamtojuta

    upo sahihi sana bosi,we kwa sasa nipe connection Mengine tutajadili..
  12. X

    JamiiForums Tanzania Kwa mashirika/kampuni au watu binafsi naomba mnipe nafasi niwatumikie, hamtojuta

    Umetisha sana mkuu ngoja nijaribu,na Mungu akubariki.
Back
Top Bottom