Wana MMU, niko katikati na sijui cha kufanya.
Sio mzuri sana wa kuelezea lakini nitajitahidi ili mpate picha halisi ya ilivyokuwa na ilivyo sasa.
Nilimpata msichana amabaye baada ya muda mfupi sana wa kufahamiana tukaanza kukaa kinyumba, bila mimi kuufahamu undani wake na yeye kuhufahamu undani...
Hawa jamaa, ukiangalia kwa umakini utagundua aiili zao zimedumaa... Ni miaka mingi sana akili haijafanya kazi.. Na wajakosa hata kauli za kutumia na hawajui fha kufanya ili kuokoa fhama chao zaidi ya maneno ya kusutana kama kama waimba taarabu. Hawaoni kabisa kipi ni maslahi ya taifa, wameshasahau..
Rafiki, maisha ni magumu sana usawa huu. Na kuna elimu ya maisha ambayo haipatikani darasani inapatikana kwa kupata ugumu wa kufika pale unapotaka kwenda... Kwa sasa wewe haka ni kapanya tu ka ugumu katika maisha yako, learn something from it kwa sababu matembo ya matatizo hayajafika bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.