Nilimwombea mungu usiku kabla nilale na niliamka mchana asubuhi na kuanza kusoma bibilia. Nikapata hizo mawazo nikiwa ninasoma.
Mi ni mwenda wazimu, sindio? Nimejaribu kuisahau lakini nimeshindwa. Imenitisha mbaya hadi nikarudi huku Kenya kwa kuogopa.
Sijui nitaendelea kwa maisha aje. Saa...
Si nimesema tu hivi? Sioni tofauti kati ya hii na kenye niliandika.
Kama ni matusi, nitusi mimi mwenyewe. Kwanza sijakataa, naona niko na shida. Lakini sio lazima wakenya wote wachongolewe juu yangu.
Sio ati naitaka..yaani ni vile nimeona hivyo. Si nilisema ilinitisha?
Pengine mi ni mwenda wazimu hapo sijakataa. Hii ndio maana hii mambo ya mungu niliishuku mapema. Yaeza kakuroga..
Sijasema hivyo..nimesema nilikuwa nikisoma vile Yesu atarudi wakati nilipatwa na hio mawazo wa kumwoa bibi mgani. Mtoto wangu atakuwa mtoto wangu. Hayo mengine nitaiwachia wengine...
Aiiye nimeandika vizuri, mbona mi huwaelewa na nyi mnashindwa?
Ama mnataka niandike hivi: "Ni kwa nini mimi ninawaelewa na nyinyi mnashindwa kunielewa?"
Hayo mmetamka, lakini?
Najua nyi mTz huwanga na kiswa fiti kuliko wengi lakini mngejifunza kiswahili za wengine...sasa, mKongo angekukujia...
Nairobi...
Soma pole pole utaelewa...sijakuja kuwaandikia, niko na mashida huku nahitaji maoni zenu.
Inabidi nikuje huko dar nijue kiswahili yenu vizuri mwanze kuniskia
Kwanza kiswahili hicho ni cha urahisi ningeanzana na kiswahili cha kiundani kungekuwa wachache wangeiielewa
Hi, habari zenu, please understand, lugha ni ngumu kwangu lakini kuna swali ningependa kuwauliza.
Mambo ya udini huwa ngumu kwangu yaani tangu nikiwa mtoto hata kumwaminia Mungu hakikukuwa kitu cha kuhakikisha kwangu.
Lakini kulifika siku niliumwa sana kwa kukosa msichana/ nikaamua kumwombea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.