Recent content by XinKumi

  1. XinKumi

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    5PK72R 5 odds Sportybet
  2. XinKumi

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Haya, bado yenu matatu.
  3. XinKumi

    Uzi Maalumu: CAF African Nations Championship (CHAN) 2024: Morroco yawa mabingwa

    Mashabiki wa Dar hawana mzuka kabisa. Michuano hata wailete na mikoani maana ndio mitoko yetu hiyo
  4. XinKumi

    Full Time: Tanzania 2-0 Burkina Faso | Mechi ya ufunguzi CHAN | Mkapa Stadium | Agosti 2, 2025 | Saa 2 Usiku

    Mudathir mchezaji wa kwanza kupata kadi ya njano. Abdul Suleiman Sopu mchezaji wa kwanza kufunga goli.
  5. XinKumi

    Full Time: Tanzania 2-0 Burkina Faso | Mechi ya ufunguzi CHAN | Mkapa Stadium | Agosti 2, 2025 | Saa 2 Usiku

    Kapombe anacheza kama winga wa kizamani, anakimbia na chaki akifika mwisho anataka aweke majalo bila kuangalia beki wa upinzani amekujaje.
  6. XinKumi

    Full Time: Tanzania 2-0 Burkina Faso | Mechi ya ufunguzi CHAN | Mkapa Stadium | Agosti 2, 2025 | Saa 2 Usiku

    Ifikie kipindi hawa watu wa TFF wawe wanaangalia na matukio mengine kuyaleta mikoani. Kila kitu Dar, halafu huko Dar kwenyewe hawana hata hamasa. Uwanja upo mweupe kuliko hata emptyhad wa Man City.
  7. XinKumi

    GE2025 Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu 2025

    Huyu mzee aliamua kuacha kazi TRA Keko pale na akaupata ubunge. Naona ameamua kurudi tena bungeni.
  8. XinKumi

    GE2025 Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu 2025

    Huyu mzee aliamua kuacha kazi TRA Keko pale na akaupata ubunge. Naona ameamua kurudi tena bungeni.
Back
Top Bottom