Jombaa @Ngalewa unaweza kuweka ads kwenye site za kiswahili lakini ni baada ya kuwa approved, ingawa kiswahili bado hakipo kwenye lugha zao, cha muimu ni lazima site unayoanzia nayo - primary dmain iwe ka kiingereza, mafano mimi nilijiunga na http://alltechdiary.com lakini ndio wakanikubali...