Recent content by XhosaVica

  1. X

    JamiiForums Tanzania SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

    Kuna uwezekano account inatumiwa na walioomba password. Bin Adam hamuaminiki
  2. X

    JamiiForums Tanzania Kwanini wasanii wa Tanzania hawapati endorsments kutoka kwenye companies kubwa za nguo? Jibu ni hili

    Marketimg Stratergies zina mengi na ni taaluma sio hisia
  3. X

    JamiiForums Tanzania Vifo vimezidi

    Tumekuwa tukishuhudia vifo vya ajali, kupotea na kutekwa, watu kuuwawa baada ya kulawitiwa. Tanzania amka. Hivi vifo vinavyoripotiwa na visivyoripotiwa ni zaidi ya vifo vya vita. Tunahitaji maombi ya kitaifa na kuangalia wapi tumejikwaa na wapi tunaelekea.
  4. X

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makonda: Dereva wangu alikuwa anafunga namba za RC DSM na kutapeli watu

    Huu ni utetezi wa kitoto amnao unahitaji akili ndogo mithili ya kuku kuuelewa. Maturity ni kunyamaza kwani watu wanaelewa.
  5. X

    JamiiForums Tanzania Maandamano Makubwa Kata ya Olijoro Namba 5, Mkoani Manyara Wananchi Wafunga Barabara Kudai Maji, Polisi waingilia kati

    Kwa maelezo ya Mtaalam wa maji inawezekana wanaoitwa wataalam wanachelewesha maendeleo. Ikiwa vifaa vipo kama ilivyoonekana ilikua ni kazi ya usiku na mchana maji yapatikane. Kuna machine nyingi za kuchimbia ikiwa hata ikitumika tractor la kijiji kulaininisha udongo mabomba yapite ni sawa. Ni...
  6. X

    JamiiForums Tanzania Mipango miji na usafiri Dodoma

    Kwa sababu ya shughuli na misafara ya viongozi ni kawaida kusimamishwa muda mrefu ikisubiriwa ipite
  7. X

    JamiiForums Tanzania Mipango miji na usafiri Dodoma

    Swala ni muda. Na urahisi. Kama ni swala la uchumi marching guys wangeruhusiwa wauze karanga uwanja wa ndege. Waunganishe miundo mbinu. Italeta maana kupunguza muda wa safari.
  8. X

    JamiiForums Tanzania Mipango miji na usafiri Dodoma

    Kwa akili hizi za mpanuko wa miji ndio hutuletea shida. Huwezi kutumia masaa 4 kutoka Dar mpaka Dodoma na unataka kuunganisha Babati, Iringa Singida etc Uje uzuiwe masaa mawili kwenye kuunganishwa. Miji yote mikubwa iliyopangiliwa inaangalia hili. Tutalitambua hili tumeshachelewa tuishie...
  9. X

    JamiiForums Tanzania Mipango miji na usafiri Dodoma

    Asante wachangiaji. Mipango miji inabidi ifanye kazi kwa kuwasiliana na uhalisia. MUDA NI RASILIMALI MUHIMU. Ni muda muafaka wa kuanza kuangalia ni jinsi gani ya kuunganisha uwanja wa ndege wa Msalato, sgr na stendi ya nanenane na mji wa serikali ikiakisi zaidi ya miaka 100 mbele.
  10. X

    JamiiForums Tanzania Mipango miji na usafiri Dodoma

    Jana nilisafiri kutoka Dar es salaam kuelekea Singida. Nikaona nitumie usafiri wa Treni mpaka Dodoma asubuhi kisha niunganishe bus kutoka Dodoma kuelekea Singida. Nilifanikiwa kufika mapema Dodoma kwa treni. Dhahama ikaanzia nilipofika kituoni kutafuta usafiri wa kwenda kituo cha mabasi cha...
  11. X

    JamiiForums Tanzania Uuaji katika jami

    Pole. Meza dawa ya kichwa usome tena.
  12. X

    JamiiForums Tanzania Uuaji katika jami

    Kutumia risasi za moto kutuliza vurugu si sawa. Hasa kwa chombo ambacho wananchi wanadhani kimeundwa kuwalinda na kuwaonyesha njia ya amani. Hakika damu haiendi bure, roho zinazotolewa kabla ya muda wake zitaililia nchi na nchi haitakuwa sehemu salama. Ni vyema weledi na hekima ikatumika katika...
  13. X

    JamiiForums Tanzania Dkt. Slaa adokeza kuwa amepata habari Deus Soka atauawa leo na kutupwa kwenye msitu

    Tukizoea uuaji hasa wa ndugu zetu damu itawalilia wauaji, taifa na vizazi. Hakika Damu na roho ni nzito. Nzito hasa. Wauaji msitekeleze hilo kwa huyo na wengine ili mjiokoe na kuokoa Taifa. Mungu hadhiakiwi.
Back
Top Bottom