Recent content by XhosaVica

  1. X

    DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

    Husuda zimewajaa hao TRA. % za kodi ni kubwa na wamekua wanafanya kazi kwa kuwaaibisha wafanyabiashara. Wafundishwe maadili kwanza
  2. X

    Nimeshangaa kumuona Profesa mmoja maarufu wa pale UDSM akisali sala ya Bikira Maria

    Nimeshangaa UNAVYOSHANGAA. USILOLIJUA UTASHANGAA.
  3. X

    Viongozi wa Serikali mnaopenda kufanya maamuzi ya kujijenga binafsi kisiasa muache. Sikubaliani na hili tamko la RC Mtaka

    Wananchi type hii nyuma ya keyboard ndio wanataka viongozi wawe mbwiga. Tunataka viongozi waoga waoga ili waonekane hawataki uongozi. Kuna kiongozi alishawahi kuhoji kwa nini watoto wavae shati nyeupe ilihali wanakaa kwenye vumbi jekundu. Wacha watoto wasome.
  4. X

    Viongozi wa Serikali mnaopenda kufanya maamuzi ya kujijenga binafsi kisiasa muache. Sikubaliani na hili tamko la RC Mtaka

    International school wanavaa uniform? Unaijua baridi ya Njombe na vile vikaptula na sketi uingie darasani. Tuache kukariri, wacha watoto wakasome
  5. X

    Special message to Mama Janeth Magufuli

    Amina kuu. Mungu awe nasi siku zote.
  6. X

    Samia Chonde Chonde! Jifunze Kenya,Wachina Wanaelekea Kupoka Bandari

    Shida sio chama. Shida ni maono, makuzi na uthubutu wa watu katika fikra na matendo. Ni vyema tukajifunza matumizi ya ubongo na akili tungali wadogo. Tusipende kulaumu kwa kila kitu.
  7. X

    Vipi kupeleka mtoto shule ya umma na baadae akatafutiwa mwalimu wa kingereza?

    Ya nini kuhangaika na ajira hakuna. Fundisha mtoto kukimbia. Marathon inalipa.
  8. X

    Lugha chafu, dharau na rushwa kwenye huduma za kijamii, hospitali, idara ya maji, TANESCO na ofisi nyingine za Serikali hata hili serikali mshindwa?

    Omba radhi wewe kiumbe usiyekuwa na shukrani. Ujumuishi huu kwa sekta ulizoainisha hauleti tija. Inaonekana upo na kasoro ya kutoona jema na awamu hii.
  9. X

    Hamisi Kigwangalla: Hatujui Dkt. Bashiru alirudisha lini kadi ya CUF. Hatujui namba ya kadi yake ya CCM

    Hakuna mtu muongo kama Kigwangwala. Ni mtu asiyeaminika
  10. X

    Waziri Ummy: Bima ya Afya (NHIF) inakaribia kufa

    Ipo shida katika weledi. Badala ya mfuko kuwekeza kwenye preventive wanalipia kutibu. Wangewekeza kwenye screening ingepunguza idadi ya fedha zinazotokana na matibabu
  11. X

    Mwana JF Pascal Mayalla majibu yako ya Hasira kwa Mamlaka ya Uteuzi katika Uzi wangu yanaweza Kukukosesha Mafanikio Kwingineko

    Woga kitu kibaya sana duniani. Mtu asiseme au kuandika aonalo linamfaa kisa watu. Mtu mwoga ni mfu nusu
Back
Top Bottom