Kwanza yule mzee hafai hata kuitwa jina kocha, yule babu ni fundi Bomba.Nchi za wababe kama waarabu yule analambwa kichuri kabla ya kutolewa mbio Nchini mithili ya paka shume
Hivi viongozi hawa mafundi bomba wa rangi nyeupe huwa wanawatoa wapi?? Au ndio yale mambo ya tenpercent. kocha anabahatisha mpira kama kilimo cha nyanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.