Recent content by xcon

  1. X

    Mjadala: Ni jambo gani kwenye Maisha yako lilichelewa sana? Ila sasa unaona kawaida sana

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] duuu basi sawa
  2. X

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] au sio ?
  3. X

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    NTOMBI sio NTOMBE,wimbo unaitwa "Marhumbini",ambao ndio umebeba jina la album yake,pia kuna SIKONE nao n mzuri sana tuu
  4. X

    Shikamoo Fally Ipupa kwa hili Rhumba lako Kali na Tamu la MAYDAY

    Ongeza na hii,4:Mal accompagné utanishukuru sana baadae
  5. X

    Masikini anazaa watoto wengi na kushindwa kuwahudumia

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mambo ya imani hayo, usijaribu kabisa utajuta
  6. X

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Kuna album moja ya kwaya ya KKKT nadhani kutoka Arusha inaitwa "Shangilieni"ilikuwa kali sana, itakuwa poa sana kama nitapata nyimbo zake.
  7. X

    Utata Sakata la mauaji ya Beatrice Minja: Kwanini serikali imehamishia mwili wa Paul KCMC wakati uchunguzi ungeweza kufanyika hospitali aliyofia?

    Ni kweli kabisa,jamaa hana huo ubavu, lakini Ukifatilia issue hii kwa undani inakama maelekezo flani yanatoka sehemu kwa mkuu flani.huyu bwana kafa na siri kubwa .
  8. X

    Maana ya Single mother

    Duuu hatar sana
Back
Top Bottom