Marks za written haziusiani kabisa na oral, kwenye oral unaenda kutafuta marks nyingine ambazo zitakufanya upate kazi endapo utajibu vizur na kupata marks nyingi kuliko wengine
Nikushauri hapo kitu, wanaposema barua ipitie kwa mwajiri inawezekana wakati unaweka taarifa zako kwenye mfumo au portal uliandika kuwa wew currently umeajiriwa ndo maana status inasoma kwenye mfumo kuwa wew upo kwenye ajira. Nakushauri pitia account yako yote kama kuna sehem ulifanya ivo...
Tarehe ya usaili bado hawajatangaza hata mim niliomba, endelea kusubili mda wowote wanaweza toa soo kaa tayar maana taasis nyingi zimeanza kutoa tareh za interview
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.