Recent content by xaverypeter

  1. X

    Akram Aziz adaiwa kukamatwa na nyara za Serikali

    Siku hizi ni wanachama wa Chadema sio CCM naomba kuwasilisha.
  2. X

    Mapinduzi yawe ni ya kilimo....

    Kuna kila sabau ya kumuunga mkono aliyeleta hii mada muhimu kwa watanzania walio wengi amabo ni wakulima na wafugaji. Sio kweli kua nchi haiwezi kuendelea kwa kutegemea kilimo. Kinachtakiwa ni kua na viwanda vya kuongeza thamani mazao yatokanayzalishwa ili tuuze nje bidhaa zilizoshaongezwa...
  3. X

    Rais Magufuli asema haridhishwi na utendaji kazi wa Benki ya Kilimo

    Kweli kabisa nakubaliana nawe kuwa bodi ndio tatizo kubwa. Aliyehangaika sana kuianzisha na kuteuliwa kua MD hakumaliza hata mwaka mmoja akaundiwa zengwe akaondolewa Unceremoniously kwa kua alikua strict na fedha za benki. Tunaomba uchunguzi kwa hili. Leo hii benki haina direction.
  4. X

    CEO ajaye wa Vodacom Tanzania anapingwa kwasababu ni Mkenya au mgeni?

    Tumewekeza pesa zetu huko. Tuna very rough experience na Wakenya kama alitaja Geza ulole. Kama ni hivyo tutatoa pesa zetu huko Voda.
  5. X

    Only in Tanzania:Kilimo chatengewa bil 11 chenye 75% ya wanyonge ndege moja bil 495 Viwanda ni usanii kwa malighafi ipi?

    Wahusika tunaomba ukweli kwa hili kwa kua ni kitu cha hatari. Hali ilivyo mbaya mifukoni halafu tukapata njaa watu watakimbia familia. Ndege ni muhimu lakini twende taratibu.
  6. X

    Mange Kimambi kuja na maandamano nje ya World Bank HQ; huu mkakati umenishtua sana

    Huyu ni taahira. kama sisi tuliopo hapa nchini tumeridhika raisi wetu yeye yupo marekani kinachomuuma nini? Mange acha mara moja kuharibu sifa nzuri ya raisi wetu. Watanzania wazalendo wa nchi hii tunatambua mazuri anayoyafanya raisi wetu. Tunajua anatumiwa na watu wasioitakia memahi yetu.
  7. X

    Askofu Fredrick Shoo: Wale wote wanaojaribu kupotosha ukweli wa waraka wa Maaskofu kwa kuupaka matope ni wajinga

    Chonde chonde acha mambo ya siasa madhabahuni. Hiki kinachoendelea si wengine hatukiafiki kabisa. Acha kutumiwa na viongozi wa kiasiasa. Ilianza uchaguzi wa 2015 kwamba ooh dhehebu letu halijawahi kutoa raisi. Mbona aligombea akashindwa.Jamani mnakoelekea siko. Siasa ni siasa na dini ni dini.
  8. X

    Maongezi vijana wa Tanzania; 96% ni pumba

    nashauri ajira serikalini ichukue wale waliopitia jeshi na si vinginevyo. Angalau wakapikwe uzalendo na uvumilivu kwanza
  9. X

    Maongezi vijana wa Tanzania; 96% ni pumba

    Wengi wanashabikia magwanda
  10. X

    President Magufuli Tactics Threat to Democracy

    Tanzania itajengwa na Watanzania kwa ajili ya manufaa ya watanzania na hatuhitaji mawazo ya wakenya ambao yakwao yamewashinda. JPM yupo kwa ajili ya watanzania na sio wakenya.
  11. X

    Rais Magufuli apiga marufuku kufanya biashara kwa kutumia fedha za kigeni

    BOT mnajukumu kubwa la ku create demand for Tshs. Transaction zote katika nchi zifanywe kwa Tshs.
  12. X

    Rais Magufuli apiga marufuku kufanya biashara kwa kutumia fedha za kigeni

    Vilevile kuna maduka ya fedha za kigeni hayatoi risiti. Fedha ya Tanzania inauzwa kama nyanya sokoni. Mfano ni Sanya Bureau de Change hapa Arusha. Miaka iliopita ukiomba risiti wanakuangalia kama nyanyambichi. Leo (zama za EFD) wanadai mashine mbovu. Transaction wanazofanya kwa siku ni...
  13. X

    Kwa hii kashfa ya Mbowe kugeuza CHADEMA kuwa kichaka cha Mafisadi, anapaswa kujiuzulu

    H Hivi Mzee Mtei uko wapi mpaka Chadema imekua kimbilio la Mafisadi? Aibu Aibu Aibu.
  14. X

    CCM Singida: Sababu zilizomfanya Nyalandu kujindoa CCM ni hasira za kukosa Uwaziri

    Tunafananisha kitendo hicho na kupanda meli ambayo tayari imeshazama nusu. Unatarajia nini? Vilevile huyu Ndugu alikua hapendi kukaa kwenye jimbo lake kwa hiyo tuna kila sababu ya kumtosa kwenye ubunge kama atagombea kwa mara nyingine. Kama anataka agombee huko Arusha anakoishi.
  15. X

    Kinana na Nape hawakuitoa CCM shimoni kwa kuiba madiwani wa CHADEMA waliongea na watanzania vijijini

    Unaposema kua Katibu wa siasa na Uenezi wa CCM Ndugu Polepole sio mwanasiasa mkakati ulitaka atumie mikakati ile ile waliotumia wenzao? Mikakati ipo mingi unachagua ni upi utakifikisha kwenye lengo tarajiwa
Back
Top Bottom