Black wengi ni masikini na huo umasikini tulionao, kila siku kwenye maisha yetu unatuweka katika risk kibao za kifo au ikibidi kufa kabisa, so kwetu cc kufa si swala gumu sanaaaa litukoseshe usingizi, hofu tunayo ila wao zao zimezidi so hatuhitaji chanzo za majaribio, nadhani wajijaribie wao...
Tuna viongozi waajabu sana hawajawahi kutokea, yan wanajiaminisha corona ni km mafua wanasimplify sana
Kama leo wamewachukua raia kutoka mataifa yalio athirika na corona then quarantine wamewaleta hotel kariakoo mtaa wa aggrey
Sent using Jamii Forums mobile app
Oya ninyi CCM NA CDM tafadhari tuachieni huu uzi fungueni mwingine mjadili hayo mambo sisi tunapata update za corona tunawaomba tafadhari
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa taarifa nzuri ila sijaelewa hapa uchumi ukiwa 0.5 unawezaje kusababisha dunia kuwa mwisho yan naomba kujua ss uhusiano
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo wa hapo juu chenga ndio maana nimempa jibu kulingana na uwezo wake wa kufikir, anauliza nimepataje mil 5 jibu ni kubet aende akabeti aone
Sent using Jamii Forums mobile app
Hello
Nitangulize samahani kwenu maana nitatumia uzi huu kuomba ushauri kwa sababu ndio wapo member wenye fully update za corona na hali ya kiuchumi ya dunia kwa sasa so sina budi. Tafadhari usinitukane nijibu na km nitakuwa nimekuudhi narudia samahani sana.
Nipo mbioni kufungua biashara ya...
Algeria, misri, ni inchi za kiarabu zilizopo africa same as iran, oman na hao waarabu pia tumeona wameathirika na corona,
still i hope black hapati madhara na corona virus. Let us wait
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila pia nina imani kwa mbali sana na kauli kuwa black people hawapati corona kwasababu, ugonjwa umelipuka maeneo ya wuhan ambapo kuna population ya watu mil 10 na ndipo ambapo kuna vyuo vingi sana china na inasemekana mpk mwaka 2018 inchi za africa zote kwa pamoja zina idadi ya wanafunz elfu 6...
Kulingana taarifa ya jana ya waziri wa afya ummy mwalimu, nina kila sababu ya kuisi kwamba ugonjwa umefika tz ila labda wanaficha tu kwasababu tayar walishafanya makosa ya kuwakaribisha wachina ambao kimsingi ndio super-spreader,
Kauli inayonipa shaka mpk ss
1. Kutoa agiza kwa kila mkuu wa mkoa...
Juu ya hili serikali ya Tanzania inapaswa kubeba huu msala kabisa lawama ni juu yao nashindwa kuelewa ni nn hasa yalikuwa malengo yao kuwakaribisha wachina eti kutalii wakati huu wa ugonjwa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.