Recent content by wozapu

  1. W

    Rais Magufuli ameona anguko lake 2020, sasa anataka kujisafisha kwa kina Kikwete

    Katika comment yangu wapi nimeandika kuibiwa ? kwani kura huwa zinaibiwa ? hebu nielimishe, halafu nijibu swali langu kule juu....kwa nini yale yote ?
  2. W

    Rais Magufuli ameona anguko lake 2020, sasa anataka kujisafisha kwa kina Kikwete

    Kobe akipandishwa juu ya mti ipo siku atadondoka tu.....
  3. W

    Rais Magufuli ameona anguko lake 2020, sasa anataka kujisafisha kwa kina Kikwete

    wakuvamia vituo vya vyama vingine vinvyokusanya matokeo na kuvamia vituo vya haki za binadamu ? vya kutisha watu na majeshi ? kufunga watanzania wenzenu, kuwaua na kuwatesa ? Kama ni kura halali why all that ?
  4. W

    Rais Magufuli ameona anguko lake 2020, sasa anataka kujisafisha kwa kina Kikwete

    Lengo lao ni kushika dola tu......Hata kwa kumwaga damu ? walisemaga hakuna marefu yasiyo na ncha.
  5. W

    Watu 7 wakamatwa kuhusiana na mauaji ya Mabina

    Namlaani na yeye kwa kumuua mtoto kwa Risasi............Alaaniwe mara mbili........uzazi ulivyo mgumu namna hii halafu mtu kwa tamaa tamaa za ARDHI ambayo inaishi milele unakufa unaiacha Uniulie mtoto? Afe mara mbili...........Umri na weledi aliokuwa nao alikuwa na uwezo wakutumia hekima...
  6. W

    Mengi: Prof. Muhongo ni muongo

    EARTH RESOURCES OF TANZANIA
  7. W

    Mengi: Prof. Muhongo ni muongo

    Soma hapa Speech ya Muhongo, EARTH RESOURCES OF TANZANIA na hapa EARTH RESOURCES OF TANZANIA
  8. W

    Kuna wakati najisikia mpweke na ninatamani nigekuwa na mke.

    mmmh umenichekesha kama nini Speaker, nioe mimi graride limeniimarisha sitakusumbua
  9. W

    Prof. Muhongo, Eliakim Maswi na wizi wa bilioni 86 wizara ya Nishati na Madini

    kafanye kazi ulee wanao, uwasaidia wazazi wako, ujenge taifa lako, wenzio wanawajibika wanatimiza wajibu wao wewe unahangaika kuwachafua? Hawachafuki ng'oooooo, hata useme umewafumania bado wataendelea kukuwajibikia wewe, upate nishati yakuandika utumbo kwenye mitandao. Fanya kazi kwa bidii...
Back
Top Bottom