Recent content by WOWOWO

  1. WOWOWO

    Kwa Heche humuoni Tundu Lissu, tofauti ni kubwa. Siioni Chadema ya Lissu/Heche ikidumu

    Nimetenga muda sana kufuatilia hotuba ya John Heche akıtangaza nia ya kugombea umakamu mwenyekiti wa CHADEMA. Nimemsikiliza kwa makini Tundu Antipas Lisu (TAL) na kisha Ezeckiel Dibojo Wenje kabla ya Heche kuna mambo kadhaa yanahitaji jicho na fikra tunduizi. Mosi, ukimsikiliza Heche, mbali na...
  2. WOWOWO

    Kiunzi hiki cha CHADEMA wamekiingia, lazima watoke, nachelea ni kwa kuchelewa

    Watu wengi wanashangaa na kushtushwa na mtifuano wa uchaguzi wa viongozi wa kitaifa ndani ya CHADEMA. Wanaona ni jambo jipya. Wengi wameanza na kubashiri chama kupasuka. Lakini ukweli ni kwamba kwa wafuatiliaji na watafiti wa siasa za upinzani hususan zinazohusu CHADEMA na chaguzi zake karibu...
  3. WOWOWO

    Maria Sarungi kamwingiza Lisu mtegoni, kazi ni kama inaenda kukamilika if no intervention

    Kwa sisi wafuatiliaji wa siasa za upinzani Tanzania lakini na uhusiano kati chama dola na dola na chama dola na upinzani lakini mazingira ya siasa za Tanzania kwa ujumla wake tunafahamu kwamba siasa za Tanzania zinaishi katika state machinery ambayo ina players wengi. Lakini msingi na kazi...
  4. WOWOWO

    PreGE2025 Kwa mtazamo wangu Mbowe na Lissu ni vita zaidi ya nje kuliko ya ndani. Ni mwendelezo wa Zitto na Maria Sarungi

    Hakuna mahali nimesoma iko stable…read me. Ninachosema, akina Maria Sarungi and co. they wish setbacks katika opposition build up ku maintain hali ilivyo. Instability na chaos idumu , maana inampa mkate na maslahi. Kilipofikia sasa CHADEMA ni stable enough kukifanya CCM kiogope uchaguzi kabisa...
  5. WOWOWO

    PreGE2025 Kwa mtazamo wangu Mbowe na Lissu ni vita zaidi ya nje kuliko ya ndani. Ni mwendelezo wa Zitto na Maria Sarungi

    Unachosema hapa ni generally kauli za akina Dr Slaa na timu nyingine ambazo ni wahanga wa michakato ya kisiasa ndani ya CHADEMA au wanaharakati “pandikizi” na mslahi kama akina Maria Sarungi. Hebu toa ushahidi mmoja tu kwamba CHADEMA with all its institutional buildup enough to shake CCM hadi...
  6. WOWOWO

    PreGE2025 Kwa mtazamo wangu Mbowe na Lissu ni vita zaidi ya nje kuliko ya ndani. Ni mwendelezo wa Zitto na Maria Sarungi

    Chief hata Kwahiyo confrontation na radicalism, CHADEMA hawajawahi kuifanya? Je Maria Sarungi amewahi kuonekana in an any of those incidents? In fact mara nyingi alikuwa akipinga na kuwaita chama cha maandamano. Ukitazama mwenendo wa yote, ni kama uivyoeleza. Maria ni ‘set up’ activist...
  7. WOWOWO

    PreGE2025 Kwa mtazamo wangu Mbowe na Lissu ni vita zaidi ya nje kuliko ya ndani. Ni mwendelezo wa Zitto na Maria Sarungi

    Kimsingi tunafikiri sawa. Hiyo ya deep state nimeonesha kwamba probably TAL hana lakini ana mfumo ulio nje ya chama zaidi kuliko within ndiyo maana anashambulia na kukibagaza chama chake hata kwa gharama ya reputation. Lengo ni ku set future benchmarks. Tayari KK Lema is out. Maria Sarungi...
  8. WOWOWO

    PreGE2025 Kwa mtazamo wangu Mbowe na Lissu ni vita zaidi ya nje kuliko ya ndani. Ni mwendelezo wa Zitto na Maria Sarungi

    Miaka ya 2010 wakati Zitto Zuberi Kabwe, Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba wanaanza kujenga “picha ya kundi ndani ya Chadema” kwa lengo la kuchukua kiti cha Freeman Mbowe (FAM) CHADEMA, mambo kadhaa yalikuwa dhahiri na yanaweza kulinganishwa kwa kiwango kikubwa kwa mizania na mlinganisho na hali...
  9. WOWOWO

    Serikali ya CCM na mkakati wa kuua “opposition generation” kupitia “election fraud”

    Mwaka 2014 na Mwaka 2015 Chama cha Mapinduzi (CCM) kilikuwa kimeingia rasmi kipindi cha kuanguka na kutoweka katika medani za siasa. Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, mtawalia pamoja na kuhujumiwa sana, yalionesha wazi kushindwa vibaya kwa CCM na kama isingekuwa...
  10. WOWOWO

    GE2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu, ACT-Wazalendo la Kuvunda?

    Huko nyuma niliwahi kuandika ujio wa Bernard Membe ndani ya ACT na hatma ya coalition au ushirikiano wa vyama vya Siasa. Nilieleza kwamba Membe ameingia ACT-Wazalendo akiwa tayari na uamuzi wa kugombea urais mfukoni huku akivitaka vyama vingine vya upinzani vimuunge mkono. Kwake yeye haamini...
  11. WOWOWO

    GE2020 Uchambuzi: Membe ana athari ndogo Uchaguzi wa 2020, Lowassa ni zaidi yake

    Hao wabunge 10 atawaleta kutokea wapi? Unamwona kweli akikitikisa CCM na kukisaidia ACT Wazalendo kuvuna wanachama?
  12. WOWOWO

    GE2020 Uchambuzi: Membe ana athari ndogo Uchaguzi wa 2020, Lowassa ni zaidi yake

    Nimepata kumsikiliza Bernard Membe. Hotuba yake, manuwio na matatajio yake. Lakini pia nimepata kumsikiliza Mwenyekiti wa chama cha ACT-Wazalendo Maalim Seif Sharif na Kiongozi Zitto Kabwe. Kuna ujumbe wa aina tatu. Mosi; Membe anasemwa/anasema yuko tofauti na Edward Lowasa, hivyo asifananishwe...
  13. WOWOWO

    Kutoka Grand Coalition hadi Membe, Nini kitatokea kwa upinzani kuelekea Oktoba?

    Kati ya tukio lililochukua headlines kwenye mchakato wa CCM kuwapata wagombea wake wa nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu ni kitendo cha Mwenyekiti wa muda wote na mmiliki wa chama cha UDP John Cheyo aka Bwana Mapesa kumwomba Mwenyekiti wa CCM Mbunge mmoja na madiwani...
  14. WOWOWO

    Uchambuzi jadidi: Zitto ni Prof. Lipumba kuelekea 2020?

    Rudia kusoma tena linganisha na mwenendo uliopo sasa. Zitto vs Lissu
  15. WOWOWO

    Uchambuzi jadidi: Zitto ni Prof. Lipumba kuelekea 2020?

    Nianze kusema mapema kabisa mimi ni mchambuzi huru, ninayetazama Siasa za Tanzania katika mizania ya uhalisia wake na kujaribu kujenga hoja kulingana na miktadha inayokuwa inajitokeza. Uchambuzi wangu hapa utalenga zaidi kuzitazama Siasa za upinzani kuelekea mwaka 2020 na possible trends ambazo...
Back
Top Bottom