Recent content by World product

  1. W

    JamiiForums Tanzania KERO Kamari imekuwa janga kubwa, Vijana tuungane kutokomeza janga hili

    Sawa chief;bet kistarabu
  2. W

    JamiiForums Tanzania KERO Kamari imekuwa janga kubwa, Vijana tuungane kutokomeza janga hili

    Narudia tena uelewe nachosema ila ningumu ila tambua jambo ambalo hutumia hisia ni ngumu sana control ikitokea shida yake kwasababu pombe utaona moja kwa moja madhara yake
  3. W

    JamiiForums Tanzania KERO Kamari imekuwa janga kubwa, Vijana tuungane kutokomeza janga hili

    Natamani uelewe nachoelewa mimi ila ni ngumu kwasababu unaupeo wako wa kufikiri na kuchanganua mambo,ila tambua kamari inaleta madhara ya changamoto ya akili ambayo kwa miaka mingi jamii zetu changamoto ya akili tunakimbilia kusema amerogwa
  4. W

    JamiiForums Tanzania KERO Kamari imekuwa janga kubwa, Vijana tuungane kutokomeza janga hili

    Utani na uzembe huu tutakuja kujilaumu baadae
  5. W

    JamiiForums Tanzania KERO Kamari imekuwa janga kubwa, Vijana tuungane kutokomeza janga hili

    Nachoka mimi watu hawajui kama kamari inamdhara ya kiafya?
  6. W

    JamiiForums Tanzania KERO Kamari imekuwa janga kubwa, Vijana tuungane kutokomeza janga hili

    Chief kamari ni mbaya ni mbaya ni mbaya zaidi ya pombe kwasababu pombe unakunywa unalewa unalala ila kamari kuacha ili ulale maana yake umeishiwa na pesa namba moja ,mbili kama ilaleta( gambling disorders) mambo ya addiction yanaingia hapo then unaanza kupata changamoto za afya ya akili
  7. W

    JamiiForums Tanzania KERO Kamari imekuwa janga kubwa, Vijana tuungane kutokomeza janga hili

    Uwekezaji huu sio aisee wazee kwa vijana ,unaleta changamoto ya moja kwa moja
  8. W

    JamiiForums Tanzania KERO Kamari imekuwa janga kubwa, Vijana tuungane kutokomeza janga hili

    Kamari kamari narudia tena inamaliza vijana kwa wazee,watu wapo na changamoto ya afya ya akili, madeni,ndoa zinayumba tusaidiane wanajamii kupunguza madhara yake
  9. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Huu ni mchezo haramu ulihalalishwa kwasababu fulani fulani
  10. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Hakika tunahitaji rehab centers mapema kabla janga hakijakuwa overspread tukashindwa kucontrol nguvu kazi inapotea fikiria miaka 13-14 kijana anaanza kubet unadhani baada ya miaka kumi atakuaje, hata kwenye masomo ya maadili hiki swala la kubet au kamari haliweki sana kwasababu ya wachache...
  11. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Ni sawa ila tambua kama sio wewe basi kizazi chako au familia yako itakuja kupata matunda ya haya makamari kipindi upo hoi taabani tujaribu kupunguza mwisho wa siku kuacha
  12. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Kabisa umeeleza kwa uzuri kabisa kamwa ambaye hata elewa na hapa katumia lugha nzuri ya kueleweka ,sasa wale ambao waathirika wanahitajika kupata msaada wa kitaalamu
  13. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Mara ya kwanza unahisi itarudi ila kadili muda unavyoenda ndio pesa inazidi kupungua
Back
Top Bottom