Hakika tunahitaji rehab centers mapema kabla janga hakijakuwa overspread tukashindwa kucontrol nguvu kazi inapotea fikiria miaka 13-14 kijana anaanza kubet unadhani baada ya miaka kumi atakuaje, hata kwenye masomo ya maadili hiki swala la kubet au kamari haliweki sana kwasababu ya wachache...
Ni sawa ila tambua kama sio wewe basi kizazi chako au familia yako itakuja kupata matunda ya haya makamari kipindi upo hoi taabani tujaribu kupunguza mwisho wa siku kuacha
Kabisa umeeleza kwa uzuri kabisa kamwa ambaye hata elewa na hapa katumia lugha nzuri ya kueleweka ,sasa wale ambao waathirika wanahitajika kupata msaada wa kitaalamu
Kweli kabisa maana unaweza fanya siri na mtu asijue,hapo unavyofanya siri nipo tatizo linapoanzia kwasababu unajikuta unashindwa kusema tatizo ndio mwanzo wa kuangamia
Ni janga kubwa sana unaweza ukaacha baada ya muda ukarudi tena ila ukifanikiwa kuuacha aisee utaona mabadiliko makubwa utaishi kwenye uhalisia wa maisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.