Recent content by World product

  1. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Huu ni mchezo haramu ulihalalishwa kwasababu fulani fulani
  2. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Hakika tunahitaji rehab centers mapema kabla janga hakijakuwa overspread tukashindwa kucontrol nguvu kazi inapotea fikiria miaka 13-14 kijana anaanza kubet unadhani baada ya miaka kumi atakuaje, hata kwenye masomo ya maadili hiki swala la kubet au kamari haliweki sana kwasababu ya wachache...
  3. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Ni sawa ila tambua kama sio wewe basi kizazi chako au familia yako itakuja kupata matunda ya haya makamari kipindi upo hoi taabani tujaribu kupunguza mwisho wa siku kuacha
  4. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Kabisa umeeleza kwa uzuri kabisa kamwa ambaye hata elewa na hapa katumia lugha nzuri ya kueleweka ,sasa wale ambao waathirika wanahitajika kupata msaada wa kitaalamu
  5. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Mara ya kwanza unahisi itarudi ila kadili muda unavyoenda ndio pesa inazidi kupungua
  6. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Hii ni addiction ,ukiweza kuacha basi utakuwa umefaulu pakubwa sana
  7. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Hapo anzia kuheal taratibu mpk ukubali haiwezi kurudi hiyo basiii
  8. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Kinachokukwamisha ni ile hali loss chasing
  9. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Nao pia wanatumika kuaminisha watu kuwa kula 70m nirahisi
  10. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Kweli kabisa maana unaweza fanya siri na mtu asijue,hapo unavyofanya siri nipo tatizo linapoanzia kwasababu unajikuta unashindwa kusema tatizo ndio mwanzo wa kuangamia
  11. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Bora huyo ila mkamaria addicted yeye haijarishi ligi wala nini yeye games ,football twende
  12. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Ni janga kubwa sana unaweza ukaacha baada ya muda ukarudi tena ila ukifanikiwa kuuacha aisee utaona mabadiliko makubwa utaishi kwenye uhalisia wa maisha
  13. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Unapata schizophrenia kwa ujumla ni mental disorders including insomnia
  14. W

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Aisee matarajio makubwa zaidi ,kudhibiti hisia huyo amechukua maamuzi mabaya hapo, wapo hawa wanaoangamia taratibu bila msaada wa kitaalamu
Back
Top Bottom