Ilikuwa vigumu sana kushindana na CHADEMA kwa sasa. Kwasababu ccm hutumia Mamilioni ya pesa ili kukamilisha mkutano mmoja. Bajeti za kutoa pesa kwa watu wahudhurie, bajeti za kukodi magari ya kubeba watu kwenda na kurudi wasingeweza kushindana na Chadema ambayo inatangaza tu mkutano wa hadhara...
Kwa sasa ccm imekuwa skeleton ni vigumu sana kulilisha li skeleton liote nyama. Labda ije miujiza ya Daniel na kisa cha bonde la Mifupa Mikavu. But ccm has ended up.
CCM inapaswa kuacha kutafuta visingizio kuhusu kuporomoka kwa mvuto wake kisiasa. Tatizo kubwa haliko kwa wapinzani, bali kwenye maamuzi ambayo chama chenyewe kimekuwa kikiyafanya.
Baada ya kifo cha Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, kulikuwa na kundi kubwa la wanachama na wafuasi waliotaka kuona...
Chatanda si tu kaikosea chadema, ameikosea sana CCM na amelikosea Taifa katika kipindi hiki watu wanasaka maridhiano. Chatanda anauthibitishia Umma kuwa CCM ipo kwa kutegemea nguvu ya vyombo vya dola na si kwa kupendwa na wananchi au kwa Hoja zenye ushawishi. Huyu mama anapaswa kujiuzulu.
Katika kipindi hiki ambacho taifa letu linapitia maumivu makali ya kisiasa, sintofahamu ya maridhiano na maswali mengi kuhusu mustakabali wa demokrasia na Umoja wa Kitaifa, sisi Watanzania tunahitaji viongozi wenye busara, hekima na lugha ya kuunganisha taifa na sio viongozi wanaoonekana...
Nasikitika kusema kwamba CCM kwa mara nyingine imepoteza Mwelekeo.
Kwa sasa CCM inawaheshimu zaidi Matajiri kuliko walengwa wa Chama ambao ndio walikuwa shabaha kubwa ya waasisi kuanziaha Chama.
Kinachotoea sasa na Kinachoendelea ni udhalilishaji Hawa walengwa yaani Wakulima na Wafanyakazi...
Mpina kuvaa Tshirt yenye picha ya hayati Magufuli anaweza kuwa ni 'Right Person in the wrong Party'
Luhaga Mpina ni mgombea Urais kwa Chama Cha ACT wazalendo. Tangu akiwa Mbunge Mpina ni mtu aliyejitanabahisha kuwa ni mfuasi wa falsafa za uongozi wa Magufuli.
Sidhani Mpina kama amepata muda wa...
🔸Kwenda ACT ni faida kwa CCM na ACT.
🔸Hajaikomesha CCM ila kajikomesha Mwenyewe.
🔸Karata ya "win win situation" hajaichanga vizuri.
Hakuna asiyejua kuwa Luhaga Joelson Mpina ni mtu mwenye msimamo thabiti katika masuala mbalimbali ya Kitaifa hasa yanayogusa maslahi ya umma na anakubalika na...
Wilaya ya Mpwapwa ina Majimbo mawili, Mpwapwa Mjini na Kibakwe.
Hamtakosa kuondoka na VICHWA kadhaa vya mtoaji na mpoleaji
Sisi ngoja tuendelee kukusanya Ushahidi.
Kwa niaba ya wana CCM wanaofuata Misingi ya Chama kulingana na matarajio ya Waasisi ambayo inatambua kuwa binadamu wote ni sawa, na kwamba kulingana na itikadi ya CCM Kila mtu ana Haki ya kutambuliwa na kuthaminiwa.
Haya matendo na matukio ya uuaji na utekaji sio ya CCM ya Baba wa Taifa au kina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.