KATA YA IMALAMIHAYO-UYUI MAJI YAPO, BADO GATI MOJA KATIKA KITONGOJI CHA KAZI ITAKAMILIKA JANUARY 2025
Manispaa ya Tabora ni moja ya maeneo ambayo imeshafikiwa na maji kutoka ziwa Victoria.
Manispaa ina Kata 29 ikijumuisha Kata ya Uyui. Kata zote 29 zimeshafikiwa na huduma ya maji.
Kata ya...
Tatizo la Maji kwa mji wa Geita kuondoshwa ifikapo mwezi Oktoba 2025.
Hali ya upatikanaji wa huduma ya maji kwa kwa mji wa Geita hivi sasa ni asilimia 75 (coverage) kwa wakazi wasiopungua 360,000. Mji wa Geita ni moja ya miji inayokuwa kwa kasi hasa kwa shughuli za kiuchumi na wananchi wengi...
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA) ina utaratibu wa kusoma Dira kwa wateja wake tarehe 1 hadi 7 ya kila mwezi.
Usomaji mita huwa ni shirikishi baina ya SUWASA na Mteja na wateja wote wameelimishwa kuwa Mita ikisomwa, meseji ya usomaji (SMS) huingia kwa mteja (katika...
Mdau
Eneo la Mtimmoja ni moja wapo wa Vijiji 13 vitakavyonufaika na mradi mkubwa wa Maji wa Vijiji 13 ambao kwa sasa uko katika hatua ya ujenzi na utakamilika karibuni ambapo Mkandarasi yuko site kwa gharama ya Tshs 20.3Bil.
Mradi huu ndio utamaliza kabisa changamoto ya Maji Monduli.
Hata hivyo...
Hatua inachukuliwa, (utaona mabadiliko siku chache za usoni), kwa kuanza na eneo la ufundi ili kuleta matokeo bora, kwa kuweka mfumo unaotumia nishati ya jua badala ya mafuta, pia kuongeza kisima cha pili. Hatua hii itawezesha huduma kuwa bora zaidi katika maeneo hayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.