Mtandao wa majitaka unapotumiwa vibaya ni kero katika jamii, na chanzo cha magonjwa mbalimbali ambayo matibabu yake ni gharama.
Matumizi sahihi ya mtandao huo ni moja ya ustaarabu katika jamii, na huepusha usumbufu kwa watumiaji na wadau wengine, pia mazingira
Mji wa Mangaka na maeneo jirani sasa kunufaika na mradi wa maji wa mji 28 uliofanikishwa na Serikali ambapo hali ya upatikanaji wa maji kwa wananchi ni hakika asilimia 100 kutoka asilimia 20.
Ni hatua mahsusi ya Serikali katika kuongeza uzalishaji na kusambaza maji katika mji wa Mangaka na...
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amemteua Mhandisi Leonard Msenyele kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA). Mhe. Aweso amefanya uteuzi huo wakati wa kikao kazi na watendaji wa taasisi hiyo kilicholenga masuala ya utendaji ikiwemo utoaji wa...
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) akiwa katika ziara ya kikazi jijini Mwanza ,Amesema changamoto ya hali ya upatikanaji wa huduma ya maji katika Jiji hilo iliyotokea siku za nyuma ilisababishwa na uzembe wa baadhi ya watendaji, lakini hivi sasa kazi kubwa ya uboreshaji wa huduma...
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb), amesema hatokuwa kikwazo kwa wananchi kupata huduma ya maji safi na salama nchini.
Akikagua Mradi wa maji wa miji 28 katika eneo la tekeo la maji (Intake) mtaa wa Senga Geita amesema atahakikisha kazi inafanyika kwa saa 24 ili kufikisha huduma ya maji kwa...
Mpango wa Serikali wa Gridi ya Taifa ya Maji ni mkakati mahsusi unaolenga kuunganisha vyanzo vikuu vya maji nchini kupitia mtandao wa miundombinu ya usafirishaji wa maji kwa wingi (bulk water transmission network) ili kuhakikisha upatikanaji wa maji wa uhakika, endelevu na wenye usawa kwa...
Serikali inaendelea kuhakikisha maeneo ya kazi kwa watumishi wa umma ni salama ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora ya kiwango.
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) katika kikao na watumishi wa Wizara ya Maji, Mtumba jijini Dodoma leo Septemba 03, 2026, ambapo amesema Serikali...
Waziri Wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amesema ujenzi wa bwawa la Farkwa ni mpango kabambe wa Serikali kuondosha changamoto ya maji kwa wakazi wa jiji la Dodoma na maeneo jirani.
Amesema hayo mwishoni mwa wiki katika hafla ya kusaini mkataba wa ujenzi wa bwawa la Farkwa katika kijiji cha...
Bwawa la Farkwa ni mradi wa maji wa kimkakati ulioibuka kama mkombozi wa huduma ya maji kwa wakazi wa Jiji la Dodoma na maeneo jirani. Ni Safari na matunda yake yanaonekana wazi kwa furaha na tabasamu za wananchi.
Dodoma, ikiwa makao makuu ya serikali, imekuwa ikikua kwa kasi katika idadi ya...
Huduma inafanyiwa kazi iwe imara zaidi kukidhi mahitaji ya kila mteja. Mkurugenzi wa maji anafanyia kazi pamoja na wataalam na atawafikia wadau wa maji katika eneo ili kidogo kinachopatikana kiongezeke zaidi.
Tumesoma madai ya mdau kuhusu utendaji wa bodi za maji nchini, ni haki yake ya msingi kutoa maoni kikatiba.
Tungependa kuweka sawa maoni yake kama ifuatavyo;
Mosi, hakuna mipango ya Serikali inayofanyika mfukoni. Mpango unazingatia Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Umma. Utekelezaji...
KATA YA IMALAMIHAYO-UYUI MAJI YAPO, BADO GATI MOJA KATIKA KITONGOJI CHA KAZI ITAKAMILIKA JANUARY 2025
Manispaa ya Tabora ni moja ya maeneo ambayo imeshafikiwa na maji kutoka ziwa Victoria.
Manispaa ina Kata 29 ikijumuisha Kata ya Uyui. Kata zote 29 zimeshafikiwa na huduma ya maji.
Kata ya...
Tatizo la Maji kwa mji wa Geita kuondoshwa ifikapo mwezi Oktoba 2025.
Hali ya upatikanaji wa huduma ya maji kwa kwa mji wa Geita hivi sasa ni asilimia 75 (coverage) kwa wakazi wasiopungua 360,000. Mji wa Geita ni moja ya miji inayokuwa kwa kasi hasa kwa shughuli za kiuchumi na wananchi wengi...
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA) ina utaratibu wa kusoma Dira kwa wateja wake tarehe 1 hadi 7 ya kila mwezi.
Usomaji mita huwa ni shirikishi baina ya SUWASA na Mteja na wateja wote wameelimishwa kuwa Mita ikisomwa, meseji ya usomaji (SMS) huingia kwa mteja (katika...
Mdau
Eneo la Mtimmoja ni moja wapo wa Vijiji 13 vitakavyonufaika na mradi mkubwa wa Maji wa Vijiji 13 ambao kwa sasa uko katika hatua ya ujenzi na utakamilika karibuni ambapo Mkandarasi yuko site kwa gharama ya Tshs 20.3Bil.
Mradi huu ndio utamaliza kabisa changamoto ya Maji Monduli.
Hata hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.