Recent content by Wizara ya Maji

  1. W

    DOKEZO Inadaiwa Wananchi wa Kata ya Uyui kuwa hawajawahi kupata maji ya Bomba tangu Nchi ipate uhuru

    KATA YA IMALAMIHAYO-UYUI MAJI YAPO, BADO GATI MOJA KATIKA KITONGOJI CHA KAZI ITAKAMILIKA JANUARY 2025 Manispaa ya Tabora ni moja ya maeneo ambayo imeshafikiwa na maji kutoka ziwa Victoria. Manispaa ina Kata 29 ikijumuisha Kata ya Uyui. Kata zote 29 zimeshafikiwa na huduma ya maji. Kata ya...
  2. W

    KERO Responded Rais Samia alivyokuja Geita tulipata maji, tangu kaondoka shida imerudi palepale

    Tatizo la Maji kwa mji wa Geita kuondoshwa ifikapo mwezi Oktoba 2025. Hali ya upatikanaji wa huduma ya maji kwa kwa mji wa Geita hivi sasa ni asilimia 75 (coverage) kwa wakazi wasiopungua 360,000. Mji wa Geita ni moja ya miji inayokuwa kwa kasi hasa kwa shughuli za kiuchumi na wananchi wengi...
  3. W

    KERO Mamlaka ya Maji Singida (SUWASA) mnatuumiza sana Wananchi, bili mnazoleta haziendani na uhalisia

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA) ina utaratibu wa kusoma Dira kwa wateja wake tarehe 1 hadi 7 ya kila mwezi. Usomaji mita huwa ni shirikishi baina ya SUWASA na Mteja na wateja wote wameelimishwa kuwa Mita ikisomwa, meseji ya usomaji (SMS) huingia kwa mteja (katika...
  4. W

    KERO Responded Wananchi Mti Mmoja - Monduli (Arusha) wanakunywa maji ya bwawa yaliyotuama, hakuna Huduma ya Maji ya Bomba

    Mdau Eneo la Mtimmoja ni moja wapo wa Vijiji 13 vitakavyonufaika na mradi mkubwa wa Maji wa Vijiji 13 ambao kwa sasa uko katika hatua ya ujenzi na utakamilika karibuni ambapo Mkandarasi yuko site kwa gharama ya Tshs 20.3Bil. Mradi huu ndio utamaliza kabisa changamoto ya Maji Monduli. Hata hivyo...
  5. W

    Msaada tutani wa gharama za kuvuta maji taka

    0800110064 (piga bila malipo) , whatsapp 0735202121 utapata maelekezo mahsusi kuhusu huduma ya kuondoa majitaka.
  6. W

    KERO Responded Mbezi Beach kwa Zena hatuna maji siku ya 3 leo tatizo ni nini?

    Taarifa ilitolewa awali kuhusu upungufu, unaweza tumia namba hii bila malipo 0800110064 au whatsapp 0735 202121
  7. W

    KERO Usimamizi mbovu mradi wa maji kijiji cha Uhindi kata ya Uyowa, Kaliua

    Hatua inachukuliwa, (utaona mabadiliko siku chache za usoni), kwa kuanza na eneo la ufundi ili kuleta matokeo bora, kwa kuweka mfumo unaotumia nishati ya jua badala ya mafuta, pia kuongeza kisima cha pili. Hatua hii itawezesha huduma kuwa bora zaidi katika maeneo hayo.
  8. W

    KERO Usimamizi mbovu mradi wa maji kijiji cha Uhindi kata ya Uyowa, Kaliua

    Jambo hili linafanyiwa kazi zaidi kujua hali halisi.
Back
Top Bottom