Recent content by Wizara Katiba Na Sheria

  1. Wizara Katiba Na Sheria

    Wizara ya Katiba na Sheria Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Suala hilo limeanza kufanyiwa kazi na wenzetu kutoka Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari. https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1847958/ Wameanza na kuelekeza kushushwa kwa gharama za usajili na tozo. Ni hatua.
  2. Wizara Katiba Na Sheria

    Ifahamu Wizara ya Katiba na Sheria na majukumu yake

    Ndugu WanaJF, Tumeona ni vyema kuitambulisha kwenu wizara hii na majukumu yake ili kuifahamu vizuri. Ni matarajio yetu kuwa Utambulisho huu utasaidia pia wadau kuuliza maswali sahihi yahusuyo wizara. KUHUSU WIZARA Wizara ya Katiba na Sheria ndio muhimili mkuu wa Serikali katika masuala...
  3. Wizara Katiba Na Sheria

    Tumeanza kutafsiri sheria zote nchini kuwa Kiswahili

    Asante kwa maoni na ushauri. Hili la lugha litazingatiwa katika hatua ya kuhakikiwa kwa tafsiri hizo kuangalia kama kilichotafsiriwa ni sahihi na hakijapoteza maana ya kile kilichokusudiwa katika utungwaji wa sheria husika. Asante.
  4. Wizara Katiba Na Sheria

    Wizara ya Katiba na Sheria Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Asante kwa maoni na ushauri. Masuala yote uliyoyaainisha yapo kwenye vipaumbele vya wizara na serikali kwa ujumla. Tutatoa mrejesho wa hatua zinazochukuliwa katika taarifa zetu rasmi. Asante.
  5. Wizara Katiba Na Sheria

    Wizara ya Katiba na Sheria Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Swali linalofanana na hili tumeshalifafanua katika majibu yetu yaliyopita. Zipo hatua za kinidhamu huchukuliwa katika ngazi husika dhidi ya watendaji au watumishi wa umma wanaoenda kinyume na sheria za nchi au maadili ya kazi zao. Asante.
  6. Wizara Katiba Na Sheria

    Wizara ya Katiba na Sheria Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Tumeshalifafanua suala hili. Asante sana kwa maoni.
  7. Wizara Katiba Na Sheria

    Wizara ya Katiba na Sheria Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Asante sana kwa ushauri na maoni mazuri ndugu Tate Mkuu
  8. Wizara Katiba Na Sheria

    Tumeanza kutafsiri sheria zote nchini kuwa Kiswahili

    Kikao kazi cha wataalamu wa sheria kutoka taasisi mbalimbali wakiongozwa na Wanasheria kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, hivi karibuni kilianza kazi ya kutafsiri sheria zote nchini. Kikao kazi hicho cha awamu ya kwanza cha siku 8 kilianza kazi Machi 3 na wajibu wake ni kutafsiri sheria 16...
Back
Top Bottom