Recent content by wiza bulambu 1

  1. W

    jamani hivi love connect..

    dah wabongo sijuwi kama baathi yao wanaitumia bongo yao vizuri...!!!
  2. W

    jamani hivi love connect..

    love connect inamaana gani kwa lugha ya kiswahili...? maana kwa uelewa wangu mm ni sehem ambapo unaweza kutana na mtu mwenye hitaji la (mme)(mke) au rafiki..... why mtu akipost anahitaji rafiki au mpenzi kunawatu hum jf kazi yao kupoteza maana halisi ya love connect...? badilikeni hili ni jukwaa...
  3. W

    A serious man to spend with the rest of my life

    [QUOTE= ooh my god DAAKIBOGA i wishing you all the best..! but do you know GOD love you how are..??? have a lovely sunday... by WIZA BULAMBU 1.
  4. W

    Kwa wageni wote.

    [QUOTE= tupo pamoja mpka kieleweke mìi ........nawajuwa wengi tu wenye id zaidi ya 1.
  5. W

    Mimi ni mdada natafuta mchumba

    huna mtoto hata mmoja? mbona umri umeenda...?
  6. W

    Natafuta mchumba aliye tayari kunioa

    kila la kheri!
  7. W

    Mchumba (..mke..)

    acha niitwe mbaguzi... umri wangu ni miaka..30.. elim yangu dgree ya madin.. sijawahi owa wala sina mtoto.!! nafanya kazi za kuhama hama yani miezi 6 MTWARA na 6 MARA... nahitaji mchumba awe na kama ifuatavyo---- umri 22 hadi 30... kabila MSUKUMA halisi...asiwe na mtoto... wala...kuwahi kuishi...
  8. W

    habari za humu wa jamii.....??

    habari za hapa wana jf ?
Back
Top Bottom