Nadhani huo ndio mtazamo wake na mwisho wa uwezo wake wa kufikiri ndio huo. Tumuombee tu apate busara kwani huyu jamaa anapenda kuropoka halafu hajifunzi.
Mtu anayempinga ama kumkashifu mkubwa wake katika mtandao ama media hafai. Haijalishi anafukuzwa na nani ila bottom line, wanatakiwa kuondoka katika chama. Tuache ushabiki shabiki wa kisiasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.