Wakuu hii bank ilikuwa inasifika kwa huduma bora na za haraka hasa kwa miamala ya nje (Swift).
Sasa kilichotokea sasa kwa miezi ya karibuni watu wanalipwa ila hela haziingii kwa wakati kwenye acc.
mfano mwezi uliopita watu wamekaa mpaka wiki mbili ndo wamekuja kuwekewa hela.
Mimi mwezi huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.