Imani ndugu inaenda na viwango narudia sio kwa uweza wangu hata kidogo ila ni mungu tyu ilifika kipindi nikawa nimesahau ladha na nilijawaliwa uwezo wa kutokuvitamani ndani ya siku hizo 40
Habari ndugu zangu,
Leo ninao furaha kubwa kwa sababu bwana ameniwezesha kufunga mungo wa siku arubaini bila kula chochote .
Tangu mwezi wa 11 tarehe 15 nilipoingia kwenye kifungo hicho hadi leo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.