Nilinunua kikuu simu samsung ni fake
Haiwaki
Nifanyaje wananizingua ata ku return
Ni sehemu gan nnaweza nkapata msaada wa kisheria katika izi organization za serikali
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmenunua simu samsang j7 kikuu ni fake yaani haifanyi kazi kabsa na kikuu wananizingua kufanya return
Jamani ni sehemu gani naweza pata msaada wa kisheria katika hizi organization za serikali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani naombeni kuuliza ni kampuni gani gani zuri linalouza bidhaa mtandaoni linalouza vitu original kwa bei ya kawaida kwani kikuu nimeona bidhaa zao ni fake
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.