Recent content by Wiseman BN

  1. W

    Hongera Mwigulu, ila umetumia nguvu kubwa sana!

    Chadema watu Kama Ally Bananga ni wa kuwapa sapoti ktk harakati za mapambano . Safari yoyote huanza na hatua mmoja, ni mwanzo mzuri, Chadema kaza buti
  2. W

    Godbless Lema - MESEJI YA VITISHO ILITOKA KWA MKUU WA MKOA

    Nadhani mnazidi kumpa umaarufu Lema. Acheni kuzusha tuhuma mwacheni Kijana apige kazi.
  3. W

    Prof. Jay aeleza sababu za kujiunga na CHADEMA. Aeleza msimamo wake kuhusu kugombea ubunge

    Uvundo jamani magamba mnatisha kinoma. Mipango ya Chadema mtakujaisoma 2015. Pale juu siyo mavuvuzela km nyie magamba. Ruzuku ya Chadema inawahusu nini? Ndo nyie mkiona mtu anakula dagaa eti kafulia, akili finyu kweli hujui dagaa zina Madini muhim kwaajili ya afya ? Magamba badilikeni kifikra
  4. W

    Baada ya siri ya Mwigulu Nchemba kulalamikia CCM kumwachia zigo la Lwakatare kuvuja,Nawashauri CCM

    Mwigulu ajue malipo ni hapahapa duniani. Laana kutesa viumbe wasio na hatia
  5. W

    spika wa serikali ya wanafunzi udom amedisco

    Atakuwa alikuwa na bifu na prof mmoja, akala kichwa. Ajipange kivingine, maisha hayana uhusiano na digrii bwana
  6. W

    Pinda: Wana Mtwara,ni gesi kidogo tu ndiyo inakwenda Dar,makapi yote yatabaki hapa

    Tatizo la magamba hawaamin km wananchi wakichoka wanaweza kufanya lolote? Wamebaki kusingizia Chadema. Halafu magamba yanasahau mapema km kuku, sasahiv wamechakachua matokeo ya kidato cha nne wanaandaa wamachinga wengine, hawa wakija kuandamana wakidai Haki zao za msingi utashangaa ooh Chadema...
  7. W

    CHADEMA yagaragazwa vibaya Iramba,CCM yachukua vijiji vyote

    Chadema bado kazi kubwa iko vijijini. Kama elimu itapenya huko basi ukombozi utakuw a umepatikana kwa watanzania . Hao wanyilamba wacheni waendelee kulewa ngojera za akina Mwigulu, ujinga wao ni fahari kubwa kwa Ccm na Nchemba wao.
  8. W

    Form 5 wa mwaka huu ni vichwamaji

    Utashangaa kuona watu wanashangilia matokeo mapya badala ya kulia. Ilichofanya serikali ni sawa na mtu aliyeuchi kuziba USO akidhani kajificha. Serikali inaangalia kujaza madarasa na si ubora kazi kwetu watoto wa masikini.
  9. W

    Waziri Muhongo azomewa!

    Hivi uprofesa alipata wapi. Kasahau kabisa Kuwa elimu aliyopata ni kwa manufaa ya watanzania, nasi kuwakandamiza Kama anavyofanya yeye. Uongozi ni hekima siyo elimu. Muhongo inabidi abadilike kulinda heshima ya uprofesa wake
  10. W

    Kutoka Kampeni za Vijiji Iramba Magharibi: Aliyemuuzia Jina Mwigulu aibukia CHADEMA

    Chadema wamchukue huyo dogo akakae makao makuu. Awape Siri zote za Mwigulu. Bado kidogo Nchemba ataanza kuokota makopo, atamtukanaje Dr. Mkumbo wakati si mgombea? Hizi ni dalili za ukichaa
Back
Top Bottom