Recent content by WISEJ

  1. W

    Dawa Ya Elimu kwa wa-Tanzania....

    Nikweli kama tabia tu kwa hapa tanzania mwalimu huchukuliwa kwa marks za kiwango cha chini ila uzuri wake wafikapo chuoni licha ya kufanya masomo ya ualimu pia hurudia masomo anayoenda kudundisha shuleni kwa kudundishwa tena na wakufunzi ili wawe wafanisi kazini. Hivyo wanaozingatia huwa wazuri...
  2. W

    Nimeumizwa sana na Hili la TAMISEMI:

    Vumilia ndugu yangu nami natokea hapo JUCO ila vumilia wanasema mpaka tarere 15, mimi ni darfuu member tupo pamoja
  3. W

    Jamani kama kawaida ya fununu za ajira za walimu wapya

    Nikweli usemavyo hata mimi naamini hii sehemu ni sehemu yakuweka vitu vyamaana viusuyo elimu kwaujumla kwa mtazamo chanya kwa ajili ya maendeleo ya elimu yetu hapa nchini, lakini mara nyingi watu huandika chuo fulani kimefanya nini sijui basi ilimradi nae kaandika jamani ebu tuifanye hii...
  4. W

    Hivi nikweli siasa bila propanda haziendi?

    Kwa kweli bado napata kigugumizi sana kwa wanasiasa wengi hapa nchini na hata nje ya nchi pale unapowasikiliza hoja zao na pindi zinapochujwa na wataalamu wa mambo yakisiasa huonekana ni chache huenda zikatekelezeka na zingine ni kama mapambio ya majukwaa na kuvutia watu, wengine pia huthubutu...
  5. W

    Tuzingatie na haya kuinua elimu nchini

    Watanzania tuinue viwango vya elimu kwa kigezo cha ubora pia na si wingi wa wanafunzi wanaojiunga nakuhitimu kiwango fulani cha elimu. Haina maana yoyote kuwa na wahitimu wa kidato cha nne wengi wakiishia kupata sifuri na hii inasababishwa na uchaguzi mbofu wa wanafunzi wa kuingia kidato cha...
Back
Top Bottom