POLE SANA... I understand how it feels bro.... Nimependa kitu kumoja toka kwako... You are so real. Story nzima inajieleza wazi kabisa kuwa ww ni mtu wa aina gani... LOVE is a precious thing.. Its a gift. Am telling you, not everybody knows how to handle it... Hata humu kwa wengi unaonekana...
Kwa maoni yangu ni kama unampenda ila humuamini (Kama una wasiwasi nae na kutoamini labda mambo yake/mienendo/tabia zake kiujumla!!?) AU Hujiamini kama unamstahili....
Isitoshe moja ya madhara ambayo me nilimkuta nayo ni maumivu makali ya uti wa mgongo usawa wa kiuno. Kwa hivyo alipokua akilalamika hiyo hali nikamweleza hiyo ndio kati ya madhara, ambapo pingili za mgingo zinalika na wakati Mwingine hupelekea hata ugonjwa wa uti wa mgongo n.k So mateso ya...
SURE! Lkn kidogo CASE zinatofautiana hapa. Huyo wa kwako bado yuko willing kuendelea. Huyu wa kwangu amekua cancelled sana kimwili na kiroho vilevile Kiasi ambacho ye mwenyewe ametaka kusaidiwa kuacha kama msaada unapatikana, ndo maana ktk Maelezo nikasema, alikuwa tayari hata kwenda kama ni...
Wanao support hili, wanachojaribu kusema ni kwamba pamoja na mazingira yote kuto kuruhusu posibility ya kusikika Kwa Azaan nje ya Dunia and in a vacuum or something, lkn still sauti ilisika, there for it was a miracle for the God of Azaan to prove that is the one to be worshiped. Ni kama Yesu...
Unaposema ni ngumu kuacha kabisa milele maana yake nikubali kuwa kuna nyakati awe anaenda kufanywa hivyo, maana Mimi kama Mimi situmii na sitegemei. So kuna mwanaume mwenye kuweza kubeba jambo kuwa mkewe awe anatoka nje ya ndoa for sometimes???
Kweli, ila kaka, yooote hayo nilishamuelezaga to the point ambayo nilidhani kaelewa na anaelewa sina future nae, ila kwakua kamaamua kuniganda na kunitunuku burebure tu, ndo nikawa najikuta naendelea kugonga gonga huku masiku yanakwenda tupo tu. SO kimsingi kila mbinu nilishatumia, lkn pia as i...
Ni ndefu sababu niliwahi kuuliza kisanii kuwa "mwanamke aliyezoea kufanya kinyume inawezekana akaacha ikiwa yuko tayari kuacha!?", nlipata majib mengi tu, mazuri na mengi ya utani na miyeyusho, Kwa hyo sikuwa nimekata KIU ya moyo wangu. Ndio sasa nikaona niiulize ktk uhalisia wake na ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.