Wadau habari za Muda huu,
Ninaomba ushauri kidogo Kwa wanaojua Nina mdogo wangu ni mwalimu wa sekondari aliyeajiliwa alisoma Bachelor of Arts with Education GPA ya 3.4
Anataka kusoma Masters lengo lake ni kubadili kada kutoka ualimu au kupanda ngazi na kutoka kwenye kufundisha aende kwenye...
Habari wana JF mimi ni kijana wa kiume nimesoma BA of Arts with Education St augustine university (2015) nikafanikiwa kupata kazi kwenye kampuni ya mawasiliano kama mzimamizi wa mauzo kwa miaka miwili mpaka mkataba ulipoisha, kwa sasa natafuta kazi katika kada ya Elimu,Au kwenye NGO au kazi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.