Mwanadamu unaposhiba,
usiwasahau wenye njaa.
Mwanadamu unapofanya sherehe,
usiwasahau wale walio katika matanga.
Mwanadamu unapokalia kiti cha mamlaka,
usiwasahau wale wanyonge waliopo nje ya boma.
Mwanadamu, punguza kiburi juu ya nguvu unayodhani unayo.
Jiulize: Mungu wa mbinguni ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.