Recent content by Winnerstz

  1. W

    Unahitaji Sakafu Tarazo imara na ya kisasa?

    Tunatoa huduma za ujenzi wa sakafu ya tarazo kwa shule, maghala (godowns), majengo ya biashara na makazi kwa ubora wa hali ya juu. Tunatumia vifaa bora na wataalamu wenye uzoefu Ujenzi imara unaodumu kwa miaka mingi Bei nafuu na makubaliano mazuri Tunazingatia viwango vya ujenzi na usalama 📞...
  2. W

    Huduma za uwekaji Tarazo (Tiles) kwa miradi mikubwa na midogo

    Tunatoa huduma za kitaalamu za uwekaji wa Tarazo (Tiles) kwa ubora wa hali ya juu kwenye maeneo mbalimbali: 🔹 Mashule (madarasa, korido, vyoo) 🔹 Parking (maeneo ya magari) 🔹 Underground floors (basements) 🔹 Nyumba binafsi (residential houses) 🔹 Ofisi, maduka na majengo ya biashara 💼 Kwa nini...
  3. W

    Tarazo safi nyumbani kwako

    Tunatoa huduma za ujenzi wa sakafu ya tarazo kwa shule, maghala (godowns), majengo ya biashara na makazi kwa ubora wa hali ya juu. ✅ Tunatumia vifaa bora na wataalamu wenye uzoefu ✅ Ujenzi imara unaodumu kwa miaka mingi✅ Bei nafuu na makubaliano mazuri ✅ Tunazingatia viwango vya ujenzi na...
  4. W

    NATAFUTA PARTNER WA BIASHARA – FURSA YA USAFIRISHAJI NA BIASHARA TANZANIA

    Habari wanajamii, Natafuta partner au mwekezaji kwa ajili ya kuanzisha biashara ya kuingiza na kusambaza three-wheelers (bajaj) pamoja na magari madogo ya biashara hapa Tanzania. Kwa sasa tayari kuna mawasiliano na wazalishaji wa nje ya nchi na wameonyesha utayari wa kufanya mazungumzo ya...
  5. W

    Unahitaji sakafu tarazo imara na ya kisasa?

    Tunatoa huduma za ujenzi wa sakafu ya tarazo kwa shule, maghala (godowns), majengo ya biashara na makazi kwa ubora wa hali ya juu. ✅ Tunatumia vifaa bora na wataalamu wenye uzoefu ✅ Ujenzi imara unaodumu kwa miaka mingi✅ Bei nafuu na makubaliano mazuri ✅ Tunazingatia viwango vya ujenzi na...
  6. W

    Fursa ya ushirikiano wa biashara (Partnership Opportunity)

    Habari wadau. Natumaini wote wazima. Twende kwenye mada moja kwa moja, Natafuta mtu au kampuni iliyo sajiliwa Tanzania kwa ajili ya ushirikiano wa kibiashara katika kuingiza na kusambaza bidhaa za vinywaji kutoka nje ya nchi (international beverage brand) kwenye soko la Tanzania. Kwa sasa niko...
  7. W

    🛍️ JIKO LA UMEME - SOKANY DUAL STOVE 🔥

    Bei: 50,000 TSH ✔️ Bramu mbili (Dual Plates) — pika vyakula viwili kwa wakati mmoja! ✔️ Linafanya kazi kwa haraka na kuokoa umeme ✔️ Salama kutumia — lina thermostat ya kudhibiti joto ✔️ Muundo wa kisasa na rahisi kusafisha 📦 Tunafikisha popote ulipo DAR ES SALAAM — BURE kabisa! 📍 Tupo...
  8. W

    Je wewe ni mmiliki wa duka?

    TANGAZO LA BIASHARA Unauza Viatu au Una Dukayaani? TWIGA ni Bidhaa Unayohitaji! Tunawakaribisha wauzaji wa rejareja wenye maduka ya viatu, au maduka ya jumla kununua kwa bei rafiki bidhaa yetu maarufu ya TWIGA – Dawa ya kung’arisha viatu (nyeusi). Faida za Bidhaa Yetu: Inang’arisha viatu...
  9. W

    Huduma za ujenzi wa sakafu ya tarazo

    Imezidi kuboreshwa kutokana na muda
  10. W

    Huduma za ujenzi wa sakafu ya tarazo

    Bei ya Kazi kwa Kila Square Meter (sqm) Dar es Salaam: TZS 10,000 kwa sqm Mikoani: TZS 14,000 kwa sqm Gharama hii inajumuisha kazi zifuatazo: ✔ Kupiga floor ✔ Kujenga stipi ✔ Kumwaga na ku-grind jamvi ✔ Kumwaga na ku-grind border ✔ Kuweka skirting ➡ Gharama hii ni kwa kazi ya msingi. Ikiwa...
  11. W

    Huduma za ujenzi wa sakafu ya tarazo

    Kwa eneo la ukubwa wa mita 2.6 × 4 = sqm 10.4, tunatumia gharama ulizotoa kwa kila mita ya mraba. Gharama za Kazi (Labour Charges) Dar es Salaam: TZS 10,000 × 10.4 sqm = 104,000 TZS Mikoani: TZS 14,000 × 10.4 sqm = 145,600 TZS Vifaa Vinavyohitajika (Makadirio kwa sqm 10.4) kwa sqm 10.4...
Back
Top Bottom