Recent content by Willy leke

  1. W

    Mkoa gani Tanzania wenye uchawi wa kutisha na mkubwa zaidi?

    Kilimanjaro vichaa wengi mitaan haswa pande za rau. Uchawi wa wachaga wakununua hawajui kuutumia, ikifika jpili makanisa yanajaa, uwanja wa mashujaa mikutano ya injili kila siku. Vibaya zaid wanalogana ndugu wao kwa wao wanafanyana mandondocha pande za Uru! Lol......
  2. W

    Mkoa gani Tanzania wenye uchawi wa kutisha na mkubwa zaidi?

    Ndugu Makolola said. Naomba kuwasiliana na wewe.
  3. W

    Mkoa gani Tanzania wenye uchawi wa kutisha na mkubwa zaidi?

    Mshana Jr naomba mawasiliano yako tuwasiliane ndugu yangu nina shida kidogo ndugu nakuomba.
  4. W

    Rukwa: Mtaalamu wa kutengeneza radi afariki Tanzania

    Ndugu zangu pls tusaidiane jaman. Ndugu yenu ninashida ya kuonana na mganga, je kuna yeyote anaetambua naomba tuwasiliane nitatoa ahsante yangu kwa atakae nisaidia nahaid ilo, ahead ni deni. Naomba tuwasilianen pls
  5. W

    Kanda maalum ya ushirikina

    Mganga wa kweli hana huo muda wa kukaa na kujitangaza ktk mitandao. Wala hutoweza kusikia habari zake mitandaon pia mganga wa kweli hata hii mitandao haijui. Hawa wa mitandaon ni wababaishaji tu ndo kama kina manyaunyau, feki nk. Hata hapa Jf kuna watu wanajitangaza kwamba wao ni waganga sijui...
  6. W

    Kanda maalum ya ushirikina

    Ni kweli kabisa mr; mshana. Mchawi ama mganga wa kweli hawapo kwenye mitandao yoyote ya kijamii. Mr mshana naomba contact zako tuwasiliane ndugu yangu.
  7. W

    Mkoa gani Tanzania wenye uchawi wa kutisha na mkubwa zaidi?

    Vipi bwana makolola said naomba tuwasiliane, nipatie namba yako pls nitupie hapa, am a kwa mail yangu, liverwilly@yahoo.com Serious issue
  8. W

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Ukiwa kama muhusika wa kweli naomba tuwasiliane, Naomba kujua unapatikana wapi? naomba contact zako nitupie hapa ama kwa mail yangu, liverwilly@yahoo.com
  9. W

    Rukwa: Mtaalamu wa kutengeneza radi afariki Tanzania

    Kuna uwezekano radi ikatengenezwa na kutumwa kwa mtu aliye Europe? Jaman kwa wale mnaofaham haya mambo wenyej wa sumbawanga! Pia kama kuna fundi mnayemtambua ukitoa babu huyo aliyefariki naomben tuwasiliane nataka kutoa warning tu kwa mtu!
  10. W

    Effects za UKUTA

    Jambo Tanzania! Jaman ndugu zangu naomba niweke hadharani, Nina matatizo flani na nimepita pita kwa mafundi tofauti tofaut, nimeshafika Anden, rufiji, bagamoyo, chalinze na pangani kwa professor flan, nazan baadh yao hao mafundi Nina iman baadhi yenu mtakua mnawafaham ama kuwasikia. So shida...
  11. W

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Habari ndugu zangu was Tz. Jaman ningependa kujua namna ya kumfaham mganga ama mchawi wa kweli, je utamtambuaje? Wanapatikana wapi?
Back
Top Bottom