Usijikite kwenye mawazo ya kuajiriwa,anza mradi wa kuotesha maua na miti unauza huko huko mjini,ukipata pesa uwe unanunua ardhi kijijini unaanzisha shamba la miti ya mbao kidogo kidogo mwisho utapata mafanikio makubwa kupitia ujuzi wako wa sayansi ya misitu.
Kama umesoma sekondari nje ya Nchi yetu baada ya kutunukiwa hivyo vyeti unavipeleka kwenye hayo mabalaza kwa uthibitisho baada ya verification unapewa kicheti fulani cha uthibitisho ama Namba ya verification, ila kunakuwa na malipo ila si makubwa.
Kama umesomea lugha ya Kiswahili Unajisajiri Bakita ambalo ni balaza la kiswahili Tanzania ada yake ni 10,000 kisha unapigwa kozi ya kiswahili kwa week moja,unapewa cheti na jina lako linaingizwa kwenye data ya walimu wa Kiswahili,unaweza sasa kupata kazi nje ya nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.