Kwa jinsi bangi inavyovutwA ni kama imeharalishwa na pia kutoa mimba kunadhuru kiumbe kilicho tumboni kwa hiyo ni case nyingine haya we niambie ushoga wa mtu mwingine una hathari gani kwako
kitendoo tu cha kuwa engineer kinanitofautisha na technician kwa sabab engineer ni knowledge based na technician ni competence based so may be tofauti ipo kwenye malengo ya kozi husika inatoa wahitimu wa aina gan
kijana we unabagua lakini ukimwi haubagui so watch out...unafikiri wao walipenda kuwa waathirika au wao hawana ndoto kama nyie na wao ni banadamu..wengine walizaliwa nao au walibakwa wengine hali ya maisha ilipelekea kuwa hivyo na hapo unaweza sema ujui hali yako ikoje jaribu kukaa na waathirika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.