Recent content by William Emmanuel

  1. William Emmanuel

    CCM Yamchagua Sitta kuwa mgombea pekee

    Namkubali Sitta kuliko vijisenti.
  2. William Emmanuel

    Picha: Vurugu zilizotokea Kasulu Kigoma Kumpinga Dr. Slaa...

    NIlichogundua ni kwamba, Mabango yote yana mwandiko mmoja! tafakari...
  3. William Emmanuel

    Waraka wa Marehemu Chacha Wangwe na Hatma ya Siasa za CHADEMA

    Mtu mwenyewe alishatangululia huko nashindwa hata kusema mbele za haki. Labda niseme juu ya mleta uzi kwamba kwa huu uzi anaisaidia CDM au anakusudia nn? Sidhani kama chadema wanahitaji msaada huo otherwise ni uhuru wa kutoa maoni!
  4. William Emmanuel

    Dr. Kitila Mkumbo asimamishwa Uongozi DUCE kwa kushiriki siasa akiwa Mtumishi wa Umma!

    Jamaa utadhani si msomi bwana. Kajimaliza mwenyewe! kweli ulimi unaponza. Hawa hawana haja hata ya kufanya uchunguzi, Maneno liyatamka mwenyewe!
  5. William Emmanuel

    Mtikila: Kuna CHADEMA MBILI - 'CHADEMA Chumbani' na 'CHADEMA Sebuleni'

    Nyani haoni kundule! Hata Mathayo 7 hasomi.
  6. William Emmanuel

    'CHADEMA Mwanza' watoa Tamko kuyapinga maamuzi ya Kamati Kuu dhidi ya kina Zitto

    Kama wanataka hivyo basi wangeipiga marufuku CC ya CDM, Kwani walivuliwa vyeo na watu wawili??? Rai....Eti nguvu ya hoja. Tena naamini kuwa kama uamuzi wa kuwaengua hawa jamaa ulikuw ni w kikatiba; hakuna kundi la wanachama linaloweza kuwa juu ya katiba. Mwisho kabisa; Hii ni propaganda!!! CDM...
  7. William Emmanuel

    Haya ndiyo Makosa 11 anayotuhumiwa Zitto Kabwe na chama chake cha CHADEMA...

    Humu kuna aina nyingi za watu! Wenye elimu kubwa ndiyo waliotuibia, so, elimu sio uadilifu!
  8. William Emmanuel

    Haya ndiyo Makosa 11 anayotuhumiwa Zitto Kabwe na chama chake cha CHADEMA...

    Umendika mengi lakin sijaona kama uko informed. Pia ni kosa kumispell Jina la mtu!
  9. William Emmanuel

    Mh. Zitto na Martin Luther King

    Inawezekana uzi huu umeandika usiku wakati kuna giza rohoni mwako. Ni kichekesho kumfananisha Zitto na Martin Luther King, lakini kama haitoshi umetoa tusi kwa wakristo wote kumfananisha Zitto na Yesu. Nina mashaka kama wewe ni Mkristo.
  10. William Emmanuel

    Mwigamba: Sitoki wala siombi radhi. Atoa ufafanuzi kuhusu Waraka wa Mkakati wa Mabadiliko 2013

    "Mwigamba alisema waraka wake unatofautiana kwa kiasi kikubwa na ule ambao Chadema kinasema kuwa ndiyo halisi”. Mwisho wa kunukuu. Walala Dr. Kitila Mkumbo aliukubali kwenye kamati kuu. Ilikuwaje akaukubali kama aliona kuwa ulikuwa umebadilishwa? Au unamanisha ulibadilishwa baada ya yeye kuwa...
Back
Top Bottom