Recent content by WILLBROD BURCHAD

  1. WILLBROD BURCHAD

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    Ndugu wanafunzi wenzangu, kwa majina ninaitwa Willbrod Burchad, ndo naingia mwaka wa 3 ktka chuo kikuu cha Dodoma, nipo college of humanities & social sciences. Mmi ndiye waziri wa mikopo katka college of humanities & social sciences. Kama kiongozi na mwanafunzi mzoefu napenda...
  2. WILLBROD BURCHAD

    Bungeni leo: Sitta asema vyombo vya habari vinapotosha habari za bunge

    Asivituhumu vyombo vya habari, sisi wenyewe tunaona kinachoendelea, kila kitu wanabadilisha, kwa mfano, wananchi tulipendekeza mali ziwe chini ya wananchi, lakini kamati zimebadilisha na kutaka mali zote ikiwemo ardhi iwe chini ya serikali kwani wananchi hawana mamlaka ya kusimamia mali zao. je...
  3. WILLBROD BURCHAD

    UDOM kwachafuka kwa maandamano

    Ni kweli kuwa udom tumekuwa na matatizo hasa ya bum, na hili limekuwa ni kikwazo kikuu kwa wanafunzi, na kuhusu pesa za field/pt kwa mwaka wa masomo 2024/2015 tumeondoka bila kusaini labda tu kwa wale wa business na health science. Mimi kama kiongozi katika wizara ya mikopo chss nimepewa jukumu...
  4. WILLBROD BURCHAD

    Selection Kidato cha Tano 2014/2015: Majina yote haya hapa

    Kweli. Vijana nenda mkapambane, sema tu kuwa kuna baadhi ya wanafunzi hawaonekani kwenye orodha hiyo, ndo hivo hawajachaguliwa au?
Back
Top Bottom