Acha ujinga wewe unaposema ccm inawanachama rasmi 14,566,000 una uhakika walio na kadi wote watawapigia kura mm nawafahamu watu zaidi ya 100 tuliokua na kadi za ccm lkn tumeshawashia moto tumezitupa kabisa think b4 hujaongea ujinga
Kuna watu nao humu kumbe ni sawa tu na huyo bondia hv mtu unalinganishaje IQ na vyeti nadhan hujui hata maana ya IQ
Kwa kifup IQ ya magufuli ni zero kabixa ndo maana anaweza kuruka kny magari na kupiga push up ovyo ovyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.