Hakika yamefanyika na ni pongezi kubwa kwa rais na serikali yake.Nguvu ikiwezwa zaidi katika kuandaa elimu hasa ya uzalishaji kwa maana ya ufundi kwa aina zake,tutaiona Tanzania yenye wasomi wenye tija katika nyanja mbalimbali
Hakika ni vitabu vingi sana lkn kama nchi ni suala la fedheha nchi kufika umri mkubwa ikiwa nyuma kiasi hicho katika masula ya uzalishaji na kutokutilia mkazo elimu ya ufundi na uwezeshwaji wa watimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.