Kweli kabisa unachoongea na ningependa kuongezea
Kuna vitu vinaweza endelea ndani ya ndoa ambavyo vinawashikilia wote wawili washindwe kuachana. Achilia mbali na shelia za dini, au kuwa na watoto. Kuna issue za mali na umiliki vinaweza vikawa vikwazo.
Andiko lako ni zuri miongoni mwa wachangiaji wengine.
Hata hivyo kutokana na mchango wako huu ili uweze kufikia lengo lako unatakiwa uwe rais wa nchi mwenye maamuzi kwenye eneo kubwa.
Pamoja na hivyo ikiwa una uwezo wa kumshawishi rais na baraza lake la mawaziri kwa hoja, unaweza kufikia lengo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.