Mungu kwa muonekano ni binadamu halisi kama sisi ila ni mkubwa sana wa umbo...
Alikuwa amevaa shati na kaptula...
Uso wake wa upole sana anayependa kukusikiliza unapoongea naye
Niliwahi kuota mwisho wa dunia,tulipofika mbinguni,mimi na kaka yangu tukamuulizia mungu kwa malaika wakatujibu alikuwa kanisani kwa muda ule...
Tulimfuata kanisani akatoka akatushika mkono kwenda hukumuni....
Akapika ubwabwa kwenye kasufuria kadooooogo tukala wote dunia nzima tukaacha...
Wakati...
Htc desire 616
Screen touch hairespond kabisa.
Sony xperia P LT 22i
Ukiwa unaicharge haiingizi chaji,inaweza ikajaa lakini ghafla inaashoot down to 0%.
Nadhani tatizo ni battery au charging system.
Naomba msaada wa fundi dar.
Htc desire 616
Screen touch hairespond kabisa.
Sony xperia P LT 22i
Ukiwa unaicharge haiingizi chaji,inaweza ikajaa lakini ghafla inaashoot down to 0%.
Nadhani tatizo ni battery au charging system.
Naomba msaada wa fundi dar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.