Habari njia pekee yakutoa cheti kilichokosewa kua uploaded ajira portal ni kufika ofisi zao posta dsm jengo linaitwa UTUMISHI kalibu na kivukoni Dodoma UDOM utawala jengo la utumishi asharose migiro road ….hakuna njia yoyote yakufuta kwenye system hata ukipiga simu kupokea ni nadra sana...
Tulipoishia
Lecture akaingia akaita group wakenda ku present kidgo akawatimua akasema hawapo serious akaita kundi letu alio wafukuza hajawapa marks ata moja nikaona duu leo
EP05
Tunaendelea
Group letu tukapita mbele ya darasa wenzangu kwakua walikua wamejiandaa wakaanza kupresent mmoja...
Huu upande sitauongelea sana killer ila kwa maisha ya chuo ukishakua na vijihela unapendeza sana na pia unajulikana hasa mkoa utanapata sana bebez na pia huo mwaka nilipata tuzo ya best entrepreneur student of the year ndio ilinipa ukaribu na wanawake wengi sana hata ninaeishi nae kwa sasa...
Upo sahihi ila Nataka kuelezea ili wasomaji waweze kuelewa mwanzo ulikuaje…sijasoma UDOM na hata nlichosomea kinahusu number sana ndio maana sio mzuri kwenye kuandika pia kuanzia kesho ntakua naweka episode 2 utapata mengi yakujifunza tena sana kuhusiana na biashara ya simu ufundi nk usiwe na hofu
Tulipoishia
Nikampigiakwanza jamaangu wa android akanambia master amenipigia kanambia anakutafuta upokei simu zake ana return za wateja kama simu10 kashapeleka kwa mafundi wameshindwa kutengeneza
Nkaona aah sasa kajaa kwenye mfumo wangu
Tuendelee
Nikampigia simu master ikaita...
Tulipo ishia
Mimi;We unamapepe anko nkacheka
Master;Hadi hapa unaonekana ni master mind njoo ucheki mizigo
Ep03
Tuendelee
Tukaingia dukani kwake akatuonesha mzigo nikaanza kukagua simu moja moja kila kitu kuanzia battery health,massage(display +battery) kama ni bypass au Offical kama ni...
Nlipoishia
Nilivomaliza tu semester ya kwanza ile likizo kwa sababu muda mwingi nikafocus kwenye biashara hapo ndipo nilipo pata mawazo mabaya yakutaka kuachachuo sasa itakuaje?
EP02
Kwakua muda mwingi nilikua nautumia kwenye izo kazi hio likizo basi ikapelekea kutengeneza base kubwa ya...
EP01
Habari za wakati huu ?
sitamani kuelezea sana maisha yangu ya nyuma Nataka nijikite kuelezea mkasa huu moja kwa moja
Nina miaka 27 hivi navyoandika uzi huu nimetokea katika familia ya chini kabisa ile ambayo tumelelewa na MAMA muda mwingi kutokana na BABA kutokua ana support familia...
ao 22bet washawahi nizingua sana 2021 nliwapiga kiasi ivi wakazuia withdraw na kwa TZ walikua hawana ofisi ofisi zipo kenya tu wakanikaziaga vijisent vyangu n nkaja kuona hawa fanyi tena kazi 255 sad story
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.