Recent content by Whos talk

  1. Whos talk

    JamiiForums Tanzania Anaefahamu namba ya kushusha cheti ajira Portal anielekeze jamani

    Habari njia pekee yakutoa cheti kilichokosewa kua uploaded ajira portal ni kufika ofisi zao posta dsm jengo linaitwa UTUMISHI kalibu na kivukoni Dodoma UDOM utawala jengo la utumishi asharose migiro road ….hakuna njia yoyote yakufuta kwenye system hata ukipiga simu kupokea ni nadra sana...
  2. Whos talk

    JamiiForums Tanzania Kutoka kuwa fundi simu hadi kuwa winga na kumiliki duka la simu nikiwa mwanafunzi wa miaka 20, hadi kufilisika na kutafutwa na Polisi

    Habari za wakati nachelewa kutuma muendelezo naomba mniwie radhi bado nasomal(MBA)lakini tutamaliza Stori Inshaalah
  3. Whos talk

    JamiiForums Tanzania Kutoka kuwa fundi simu hadi kuwa winga na kumiliki duka la simu nikiwa mwanafunzi wa miaka 20, hadi kufilisika na kutafutwa na Polisi

    Tulipoishia Lecture akaingia akaita group wakenda ku present kidgo akawatimua akasema hawapo serious akaita kundi letu alio wafukuza hajawapa marks ata moja nikaona duu leo EP05 Tunaendelea Group letu tukapita mbele ya darasa wenzangu kwakua walikua wamejiandaa wakaanza kupresent mmoja...
  4. Whos talk

    JamiiForums Tanzania Kutoka kuwa fundi simu hadi kuwa winga na kumiliki duka la simu nikiwa mwanafunzi wa miaka 20, hadi kufilisika na kutafutwa na Polisi

    Huu upande sitauongelea sana killer ila kwa maisha ya chuo ukishakua na vijihela unapendeza sana na pia unajulikana hasa mkoa utanapata sana bebez na pia huo mwaka nilipata tuzo ya best entrepreneur student of the year ndio ilinipa ukaribu na wanawake wengi sana hata ninaeishi nae kwa sasa...
  5. Whos talk

    JamiiForums Tanzania Kutoka kuwa fundi simu hadi kuwa winga na kumiliki duka la simu nikiwa mwanafunzi wa miaka 20, hadi kufilisika na kutafutwa na Polisi

    Upo sahihi ila Nataka kuelezea ili wasomaji waweze kuelewa mwanzo ulikuaje…sijasoma UDOM na hata nlichosomea kinahusu number sana ndio maana sio mzuri kwenye kuandika pia kuanzia kesho ntakua naweka episode 2 utapata mengi yakujifunza tena sana kuhusiana na biashara ya simu ufundi nk usiwe na hofu
  6. Whos talk

    JamiiForums Tanzania Kutoka kuwa fundi simu hadi kuwa winga na kumiliki duka la simu nikiwa mwanafunzi wa miaka 20, hadi kufilisika na kutafutwa na Polisi

    Tulipoishia Nikampigiakwanza jamaangu wa android akanambia master amenipigia kanambia anakutafuta upokei simu zake ana return za wateja kama simu10 kashapeleka kwa mafundi wameshindwa kutengeneza Nkaona aah sasa kajaa kwenye mfumo wangu Tuendelee Nikampigia simu master ikaita...
  7. Whos talk

    JamiiForums Tanzania Kutoka kuwa fundi simu hadi kuwa winga na kumiliki duka la simu nikiwa mwanafunzi wa miaka 20, hadi kufilisika na kutafutwa na Polisi

    Tulipo ishia Mimi;We unamapepe anko nkacheka Master;Hadi hapa unaonekana ni master mind njoo ucheki mizigo Ep03 Tuendelee Tukaingia dukani kwake akatuonesha mzigo nikaanza kukagua simu moja moja kila kitu kuanzia battery health,massage(display +battery) kama ni bypass au Offical kama ni...
  8. Whos talk

    JamiiForums Tanzania Kutoka kuwa fundi simu hadi kuwa winga na kumiliki duka la simu nikiwa mwanafunzi wa miaka 20, hadi kufilisika na kutafutwa na Polisi

    Nlipoishia Nilivomaliza tu semester ya kwanza ile likizo kwa sababu muda mwingi nikafocus kwenye biashara hapo ndipo nilipo pata mawazo mabaya yakutaka kuachachuo sasa itakuaje? EP02 Kwakua muda mwingi nilikua nautumia kwenye izo kazi hio likizo basi ikapelekea kutengeneza base kubwa ya...
  9. Whos talk

    JamiiForums Tanzania Kutoka kuwa fundi simu hadi kuwa winga na kumiliki duka la simu nikiwa mwanafunzi wa miaka 20, hadi kufilisika na kutafutwa na Polisi

    EP01 Habari za wakati huu ? sitamani kuelezea sana maisha yangu ya nyuma Nataka nijikite kuelezea mkasa huu moja kwa moja Nina miaka 27 hivi navyoandika uzi huu nimetokea katika familia ya chini kabisa ile ambayo tumelelewa na MAMA muda mwingi kutokana na BABA kutokua ana support familia...
  10. Whos talk

    JamiiForums Tanzania Kampuni za betting zilizokimbia soko la tanzania

    ao 22bet washawahi nizingua sana 2021 nliwapiga kiasi ivi wakazuia withdraw na kwa TZ walikua hawana ofisi ofisi zipo kenya tu wakanikaziaga vijisent vyangu n nkaja kuona hawa fanyi tena kazi 255 sad story
Back
Top Bottom