Recent content by who am i

  1. W

    Nini madhumuni ya uwepo wa binadamu?

    Binadamu wamepewa ufahamu wa hiyari achague zuri au baya ndomana mungu akashusha vitabu vyenye kubainisha baya na zuri. Na baada ya hapo peponi hakuna maombi
  2. W

    Nini madhumuni ya uwepo wa binadamu?

    Ni katone Kati ya mautundu ya Sir god kumuumba mwanadamu.. Na kampenda mwanadamu kuliko viumbe wengine na akimuona anamuabudu huwaambia malaika mnamuona mjawangu, Yu dhaifu\ana matamanio Laikini ananiabudu.
  3. W

    Mbunge wa CCM Viti Maalumu ataka kulia akipinga Bunge kuonyeshwa "Live"

    Ivi bila bunge haiwezekani?? Mbona kutorushwa live imewezekana... Tunataa kupunguza gharama na wabunge nao wafanye kazi za uzalishaji.. Sio maigizo tu wakati watendaji ni mawazir na na watakalo lileta bungeni halipingwi.
  4. W

    Haki ya Mungu UKAWA hamtoki na jimbo mkoani kwangu

    Hahaha anategemea Masele ashinde.... magufuli aliemnadi kwakusema "naombeni mumsamehe sana najua hajafanya lolote lakini naombeni mumsamehe naye pia ni binadamu"
  5. W

    Hotuba ya hekima aliyoitoa Mbowe kwenye sherehe za Eid

    Ndo masheh walimpa nafasi aombe kula
  6. W

    Hotuba ya hekima aliyoitoa Mbowe kwenye sherehe za Eid

    Kwahiyo alikua anapiga kampeni????
  7. W

    Lowassa: Wafanyakazi mkinichagua nitapunguza P.A.Y.E kutoka 18% mpaka 9%!

    Kuna duka falan Leo nimenunua bidhaa za 40000tsh nikaandikiwa risiti ya kielekroniki 10000tsh nikaangalia makato ya kodi ni 18%. sa nikajiuliza kwahiyo TRA wameingiza 1800tsh badala ya 7200tsh...???? Hiv kwa mfano wangetoza tozo ndogo tu kama 10% si wangepata 4000.. Maana tozo ndogo haiwez...
  8. W

    Lowasa: Wagombea wa ukawa majimboni wanasaidiwa na maparoko fedha na mafuta katika kampeni

    M4C magufuli for change. Hatari sana nimehama kwa magufuli nlijisahau kama na yeye ni ccm saiv kula ukawa kulala ccm
  9. W

    Usindikaji wa gesi ya kupikia Kinyerezi

    Kuna watu wamepanga chumba tu kimoja hakuna jiko wala sebure ikifika muda wa kupika wanatoa jiko nje anapika na unakuta nyumba moja inawapangaji hata 8 kwahiyo kwa umeme ni virahisi kuwafungia luku kwa kila mmoja.. Na anaweza kuvuta waya wake paka pale anapo pikia nikama kuchaji sim tu :-)
  10. W

    Usindikaji wa gesi ya kupikia Kinyerezi

    Kwahiyo hii gesi ni Yale Yale.. sasa yanini wameichimba wafukie tu.
  11. W

    Usindikaji wa gesi ya kupikia Kinyerezi

    Kama Tz yetu hauijui vile. Mipango miji mibovu hayo mabomba lazima yahusike na bomoa bomoa lazima itachukua muda.. Na umeme tunao na baadhi pia yavijiji wanao, tatizo gharama, hatuwez shindwa kupikia umeme kama gharama zitapungua. Kuhusu mkaa mi sijasapot matumiz ya mkaa maana yanaharibu misitu...
  12. W

    Usindikaji wa gesi ya kupikia Kinyerezi

    Kwa Tanzania hii tunataka maji kwanza.. Hizo pesa za kusambaza mabomba ya gesi wasambaze maji. Ona kipindupindu sababu kuu ni kutokuwa na maji safi na salama.
  13. W

    Usindikaji wa gesi ya kupikia Kinyerezi

    Hivi kweli na mradi wa makaa yamawe ulishia wapi ?????? maana ulikuja kwa kasi kama hii gesi.. Sijaona chochote nlijua kukata miti bye bye sasa ni makaa yamawe, na mgao kwisha maana kikwete alisema watafua umeme
  14. W

    Usindikaji wa gesi ya kupikia Kinyerezi

    Sioni kama kuna ulazima wa kupika kwa kumia gesi, watumie gesi kutuzalishia umeme wa uhakika wenye gharama nafuu. Tutatumia majiko ya umeme.. Tupunguze usumbufu wa mamitungi
Back
Top Bottom